Uchaguzi 2020 CCM watangazwe washindi kwani CHADEMA wameshindwa kabla ya kuanza

Uchaguzi 2020 CCM watangazwe washindi kwani CHADEMA wameshindwa kabla ya kuanza

security guard

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2011
Posts
799
Reaction score
603
Kwa kilichotokea leo ni wazi kuwa CHADEMA hawajajiandaa, hawakujipanga, hawakufanya maandalizi na wala hawana matarajio na matumaini ya ushindi, wameanza wakiwa wamekata tamaa na wametangaza kushindwa kabla ya kuanza kushindana. Ukiwapima na ukipima mkutano wao katika maeneo yafuatayo utakubaliana na nilichokiandika.

1: Mkutano ulikosa maandalizi, kuanzia watu wa hamasa mpaka wazungumzaji.

Kila aliyesimama kuzungumza alionyesha wazi kabisa kuwa hakuwa amejipanga kuzungumza katika mkutano mkubwa kama huo wa ufunguzi ambao kimsingi ndio unatambulisha agenda ya Chama kwa wanachama na wananchi kwa ujumla wao.

Kawaida ya siasa za Chadema hutanguliwa na hamasa kubwa katika mitandao ya kijamii, mtaani na katika eneo husika la mkutano. Maeneo yote hayo hakukuwa na hamasa ya aina yeyote.

2: Idadi ndogo ya wanachama waliojitokeza kuhudhuria.
Labda kutokana na kukosekana kwa hamasa watu wachache sana walijitokeza katika viwanja hivyo ambapo imeonyesha kuwa kama vile watu wameupuuzia mkutano huo.

3: Siku ya Mkutano na eneo la Mkutano
Mbagala ni eneo la wakazi waislamu na kwa siku ya ijumaa kwa waislam inajulikana kuwa wameitenga siku hiyo kwasababu ni siku yao ya ibada na kwamba wanajipa mapumziko yasiyo rasmi katika kazi na shughuli zao. Wlaikosea kupanga mkutano huo kwa siku hii ya leo na eneo hilo.

4: Nafasi ya vyombo vya habari,
Chadema wameneglect kabisa umuhimu wa vyombo vya habari katika kulifanyia branding tukio lao na kulipa vibe ambayo ilitegemewa, matokeo yake Mwenyekiti ndio kaharibu zaidi baada ya kuituhumu TBC kuwa imekata matangazo.

5: Hotuba ya Mgombea
Katika siku kubwa kama ya uzinduzi hautakiwi kuzungumza vitu obvious, ni siku ya kuieleza dunia nini CHADEMA imepanga kufanya sio siku ya kuja kusimulia matukio ambayo kwa miaka mitatu watu wamekuwa wakiyasikiliza.

6: Wahuni ambao walikuwa wamekaa mbele wanapiga mayowe na kumfanya Mgombea akate hotuba na kuanza kuwaengage ili watulie na kuanza kuzungumza nao.

7: Nafasi ya wasanii na watu wa kutoa hamasa;
hakukuwa na msanii yeyote wa maana ambapo kwa mbagala wangeweza kutafuta waimba singeli hata watatu tu wangetosha kuongeza idadi ya watu na kuupa mkutano vibe linalostahili.

8: Kuutumia Mkutano wa Ufunguzi kama sehemu ya tukio la fundraising;
Ni ujinga uliopindukia kuutumia mkutano ule kufanya fundrising badala ya kunadi sera, wakati huo kwa miaka mitano MWENYEKITI amekuwa akikusanya hela ya wabunge kwa kile alichokiita Mfuko wa Uchaguzi.
 
Masaa mawili sasa huna hata like moja ya lumumba (mazombi) wenzio?..Kukataliwa ni kubaya Sana Mkuu.
 
Unadhani nimekuja kutafuta like..?
Uzi wako mpka sasa una wachangiaji wangapi? Au tuendelee tu kujibishana Mimi na wewe mpk kampeni ziishe? Lumumba😂....Ujinga wenu mkubwa ni pale mnapodhani akili zenu Kama kuku mnaweza kuwaongopea watu akili kubwa. Umeandika ujinga wa kiwango Cha Daraja la mfugale(wenyewe mnaita flyover)😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌
 
Kwa kilichotokea leo ni wazi kuwa CHADEMA hawajajiandaa, hawakujipanga, hawakufanya maandalizi na wala hawana matarajio na matumaini ya ushindi, wameanza wakiwa wamekata tamaa na wametangaza kushindwa kabla ya kuanza kushindana. Ukiwapima na ukipima mkutano wao katika maeneo yafuatayo utakubaliana na nilichokiandika.

1: Mkutano ulikosa maandalizi, kuanzia watu wa hamasa mpaka wazungumzaji.

Kila aliyesimama kuzungumza alionyesha wazi kabisa kuwa hakuwa amejipanga kuzungumza katika mkutano mkubwa kama huo wa ufunguzi ambao kimsingi ndio unatambulisha agenda ya Chama kwa wanachama na wananchi kwa ujumla wao.

Kawaida ya siasa za Chadema hutanguliwa na hamasa kubwa katika mitandao ya kijamii, mtaani na katika eneo husika la mkutano. Maeneo yote hayo hakukuwa na hamasa ya aina yeyote.

2: Idadi ndogo ya wanachama waliojitokeza kuhudhuria.
Labda kutokana na kukosekana kwa hamasa watu wachache sana walijitokeza katika viwanja hivyo ambapo imeonyesha kuwa kama vile watu wameupuuzia mkutano huo.

3: Siku ya Mkutano na eneo la Mkutano
Mbagala ni eneo la wakazi waislamu na kwa siku ya ijumaa kwa waislam inajulikana kuwa wameitenga siku hiyo kwasababu ni siku yao ya ibada na kwamba wanajipa mapumziko yasiyo rasmi katika kazi na shughuli zao. Wlaikosea kupanga mkutano huo kwa siku hii ya leo na eneo hilo.

4: Nafasi ya vyombo vya habari,
Chadema wameneglect kabisa umuhimu wa vyombo vya habari katika kulifanyia branding tukio lao na kulipa vibe ambayo ilitegemewa, matokeo yake Mwenyekiti ndio kaharibu zaidi baada ya kuituhumu TBC kuwa imekata matangazo.

5: Hotuba ya Mgombea
Katika siku kubwa kama ya uzinduzi hautakiwi kuzungumza vitu obvious, ni siku ya kuieleza dunia nini CHADEMA imepanga kufanya sio siku ya kuja kusimulia matukio ambayo kwa miaka mitatu watu wamekuwa wakiyasikiliza.

6: Wahuni ambao walikuwa wamekaa mbele wanapiga mayowe na kumfanya Mgombea akate hotuba na kuanza kuwaengage ili watulie na kuanza kuzungumza nao.

7: Nafasi ya wasanii na watu wa kutoa hamasa;
hakukuwa na msanii yeyote wa maana ambapo kwa mbagala wangeweza kutafuta waimba singeli hata watatu tu wangetosha kuongeza idadi ya watu na kuupa mkutano vibe linalostahili.

8: Kuutumia Mkutano wa Ufunguzi kama sehemu ya tukio la fundraising;
Ni ujinga uliopindukia kuutumia mkutano ule kufanya fundrising badala ya kunadi sera, wakati huo kwa miaka mitano MWENYEKITI amekuwa akikusanya hela ya wabunge kwa kile alichokiita Mfuko wa Uchaguzi.
vijana ambao tulifikiri watakuwa makini kuchambua sera za wagombea na ilani zao for the next 5 years, Ndio Hao Hao wako mitandaoni kubishana nani kajaza uwanja...Smh, Tuna safari ndefu sana fam. Tuko kishabiki zaidi dizaini ya simba na yanga!!
 
Kwa kilichotokea leo ni wazi kuwa CHADEMA hawajajiandaa, hawakujipanga, hawakufanya maandalizi na wala hawana matarajio na matumaini ya ushindi, wameanza wakiwa wamekata tamaa na wametangaza kushindwa kabla ya kuanza kushindana. Ukiwapima na ukipima mkutano wao katika maeneo yafuatayo utakubaliana na nilichokiandika.

1: Mkutano ulikosa maandalizi, kuanzia watu wa hamasa mpaka wazungumzaji.

Kila aliyesimama kuzungumza alionyesha wazi kabisa kuwa hakuwa amejipanga kuzungumza katika mkutano mkubwa kama huo wa ufunguzi ambao kimsingi ndio unatambulisha agenda ya Chama kwa wanachama na wananchi kwa ujumla wao.

Kawaida ya siasa za Chadema hutanguliwa na hamasa kubwa katika mitandao ya kijamii, mtaani na katika eneo husika la mkutano. Maeneo yote hayo hakukuwa na hamasa ya aina yeyote.

2: Idadi ndogo ya wanachama waliojitokeza kuhudhuria.
Labda kutokana na kukosekana kwa hamasa watu wachache sana walijitokeza katika viwanja hivyo ambapo imeonyesha kuwa kama vile watu wameupuuzia mkutano huo.

3: Siku ya Mkutano na eneo la Mkutano
Mbagala ni eneo la wakazi waislamu na kwa siku ya ijumaa kwa waislam inajulikana kuwa wameitenga siku hiyo kwasababu ni siku yao ya ibada na kwamba wanajipa mapumziko yasiyo rasmi katika kazi na shughuli zao. Wlaikosea kupanga mkutano huo kwa siku hii ya leo na eneo hilo.

4: Nafasi ya vyombo vya habari,
Chadema wameneglect kabisa umuhimu wa vyombo vya habari katika kulifanyia branding tukio lao na kulipa vibe ambayo ilitegemewa, matokeo yake Mwenyekiti ndio kaharibu zaidi baada ya kuituhumu TBC kuwa imekata matangazo.

5: Hotuba ya Mgombea
Katika siku kubwa kama ya uzinduzi hautakiwi kuzungumza vitu obvious, ni siku ya kuieleza dunia nini CHADEMA imepanga kufanya sio siku ya kuja kusimulia matukio ambayo kwa miaka mitatu watu wamekuwa wakiyasikiliza.

6: Wahuni ambao walikuwa wamekaa mbele wanapiga mayowe na kumfanya Mgombea akate hotuba na kuanza kuwaengage ili watulie na kuanza kuzungumza nao.

7: Nafasi ya wasanii na watu wa kutoa hamasa;
hakukuwa na msanii yeyote wa maana ambapo kwa mbagala wangeweza kutafuta waimba singeli hata watatu tu wangetosha kuongeza idadi ya watu na kuupa mkutano vibe linalostahili.

8: Kuutumia Mkutano wa Ufunguzi kama sehemu ya tukio la fundraising;
Ni ujinga uliopindukia kuutumia mkutano ule kufanya fundrising badala ya kunadi sera, wakati huo kwa miaka mitano MWENYEKITI amekuwa akikusanya hela ya wabunge kwa kile alichokiita Mfuko wa Uchaguzi.
No kweli kabisa ndio maana strategy yao ya sasa ni kufanya kampeni za kuhubiri vitisho na wakati huo huo kuweka upenyo wa kujitoa kwenye uchaguzi kisa mazao yao kutotekelezwa
 
Kwa kilichotokea leo ni wazi kuwa CHADEMA hawajajiandaa, hawakujipanga, hawakufanya maandalizi na wala hawana matarajio na matumaini ya ushindi, wameanza wakiwa wamekata tamaa na wametangaza kushindwa kabla ya kuanza kushindana. Ukiwapima na ukipima mkutano wao katika maeneo yafuatayo utakubaliana na nilichokiandika.

1: Mkutano ulikosa maandalizi, kuanzia watu wa hamasa mpaka wazungumzaji.

Kila aliyesimama kuzungumza alionyesha wazi kabisa kuwa hakuwa amejipanga kuzungumza katika mkutano mkubwa kama huo wa ufunguzi ambao kimsingi ndio unatambulisha agenda ya Chama kwa wanachama na wananchi kwa ujumla wao.

Kawaida ya siasa za Chadema hutanguliwa na hamasa kubwa katika mitandao ya kijamii, mtaani na katika eneo husika la mkutano. Maeneo yote hayo hakukuwa na hamasa ya aina yeyote.

2: Idadi ndogo ya wanachama waliojitokeza kuhudhuria.
Labda kutokana na kukosekana kwa hamasa watu wachache sana walijitokeza katika viwanja hivyo ambapo imeonyesha kuwa kama vile watu wameupuuzia mkutano huo.

3: Siku ya Mkutano na eneo la Mkutano
Mbagala ni eneo la wakazi waislamu na kwa siku ya ijumaa kwa waislam inajulikana kuwa wameitenga siku hiyo kwasababu ni siku yao ya ibada na kwamba wanajipa mapumziko yasiyo rasmi katika kazi na shughuli zao. Wlaikosea kupanga mkutano huo kwa siku hii ya leo na eneo hilo.

4: Nafasi ya vyombo vya habari,
Chadema wameneglect kabisa umuhimu wa vyombo vya habari katika kulifanyia branding tukio lao na kulipa vibe ambayo ilitegemewa, matokeo yake Mwenyekiti ndio kaharibu zaidi baada ya kuituhumu TBC kuwa imekata matangazo.

5: Hotuba ya Mgombea
Katika siku kubwa kama ya uzinduzi hautakiwi kuzungumza vitu obvious, ni siku ya kuieleza dunia nini CHADEMA imepanga kufanya sio siku ya kuja kusimulia matukio ambayo kwa miaka mitatu watu wamekuwa wakiyasikiliza.

6: Wahuni ambao walikuwa wamekaa mbele wanapiga mayowe na kumfanya Mgombea akate hotuba na kuanza kuwaengage ili watulie na kuanza kuzungumza nao.

7: Nafasi ya wasanii na watu wa kutoa hamasa;
hakukuwa na msanii yeyote wa maana ambapo kwa mbagala wangeweza kutafuta waimba singeli hata watatu tu wangetosha kuongeza idadi ya watu na kuupa mkutano vibe linalostahili.

8: Kuutumia Mkutano wa Ufunguzi kama sehemu ya tukio la fundraising;
Ni ujinga uliopindukia kuutumia mkutano ule kufanya fundrising badala ya kunadi sera, wakati huo kwa miaka mitano MWENYEKITI amekuwa akikusanya hela ya wabunge kwa kile alichokiita Mfuko wa Uchaguzi.
Ni suala la muda tu. Safari hii wakikaa mshale, wakiinuka mshale, wakicheka mshale, wakinuna mshale mpaka ifike 0ct 28 wapo hoi.
 
Kwa kilichotokea leo ni wazi kuwa CHADEMA hawajajiandaa, hawakujipanga, hawakufanya maandalizi na wala hawana matarajio na matumaini ya ushindi, wameanza wakiwa wamekata tamaa na wametangaza kushindwa kabla ya kuanza kushindana. Ukiwapima na ukipima mkutano wao katika maeneo yafuatayo utakubaliana na nilichokiandika.

1: Mkutano ulikosa maandalizi, kuanzia watu wa hamasa mpaka wazungumzaji.

Kila aliyesimama kuzungumza alionyesha wazi kabisa kuwa hakuwa amejipanga kuzungumza katika mkutano mkubwa kama huo wa ufunguzi ambao kimsingi ndio unatambulisha agenda ya Chama kwa wanachama na wananchi kwa ujumla wao.

Kawaida ya siasa za Chadema hutanguliwa na hamasa kubwa katika mitandao ya kijamii, mtaani na katika eneo husika la mkutano. Maeneo yote hayo hakukuwa na hamasa ya aina yeyote.

2: Idadi ndogo ya wanachama waliojitokeza kuhudhuria.
Labda kutokana na kukosekana kwa hamasa watu wachache sana walijitokeza katika viwanja hivyo ambapo imeonyesha kuwa kama vile watu wameupuuzia mkutano huo.

3: Siku ya Mkutano na eneo la Mkutano
Mbagala ni eneo la wakazi waislamu na kwa siku ya ijumaa kwa waislam inajulikana kuwa wameitenga siku hiyo kwasababu ni siku yao ya ibada na kwamba wanajipa mapumziko yasiyo rasmi katika kazi na shughuli zao. Wlaikosea kupanga mkutano huo kwa siku hii ya leo na eneo hilo.

4: Nafasi ya vyombo vya habari,
Chadema wameneglect kabisa umuhimu wa vyombo vya habari katika kulifanyia branding tukio lao na kulipa vibe ambayo ilitegemewa, matokeo yake Mwenyekiti ndio kaharibu zaidi baada ya kuituhumu TBC kuwa imekata matangazo.

5: Hotuba ya Mgombea
Katika siku kubwa kama ya uzinduzi hautakiwi kuzungumza vitu obvious, ni siku ya kuieleza dunia nini CHADEMA imepanga kufanya sio siku ya kuja kusimulia matukio ambayo kwa miaka mitatu watu wamekuwa wakiyasikiliza.

6: Wahuni ambao walikuwa wamekaa mbele wanapiga mayowe na kumfanya Mgombea akate hotuba na kuanza kuwaengage ili watulie na kuanza kuzungumza nao.

7: Nafasi ya wasanii na watu wa kutoa hamasa;
hakukuwa na msanii yeyote wa maana ambapo kwa mbagala wangeweza kutafuta waimba singeli hata watatu tu wangetosha kuongeza idadi ya watu na kuupa mkutano vibe linalostahili.

8: Kuutumia Mkutano wa Ufunguzi kama sehemu ya tukio la fundraising;
Ni ujinga uliopindukia kuutumia mkutano ule kufanya fundrising badala ya kunadi sera, wakati huo kwa miaka mitano MWENYEKITI amekuwa akikusanya hela ya wabunge kwa kile alichokiita Mfuko wa Uchaguzi.
Ila kiukweli uzinduzi wa kampeni wa cdm ulikuja ki-suprise sana, nakumbuka mm nipo ofsin alhamis mchana ndo kupitia social media ndo nafahamu kesho ni uzinduzi wa kampeni.Nikawa najiuliza mbona ghafla ivo na hamna promo.Strategists wenu kwa hili walifeli sana.
Mlifanya haraka sana mmetoka kwenye pingamizi mlililoweka kwa jpm bila hata kutafakari na kujipanga mnatangaza kesho yake ni uzinduzi! The biggest failure of the week

Cdm mjipanga kampeni ni mikakati! Sio matamko tu
 
Waliopitishwa kwa hila ya kutokupingwa hao hapo
JamiiForums-795763129.jpg
FB_IMG_1593760875709.jpg
FB_IMG_1578313238547.jpg
tapatalk_1576643810730.jpg
tapatalk_jpeg_1571937092693.jpg
FB_IMG_1570960151009.jpg
tapatalk_1570946898001.jpg
 
Back
Top Bottom