Hao vijana wameenda chuo kusoma or kujiingiza kwenye siasa? Poor Tanzania, kwa mtindo huu hatutafika!
kumbe hivo tu...!!!
na hapo washukuru kuwa hicho chuo hakibagui wanafunzi kutokana na itikadi zao, la sivyo asingesajiliwa kwa masomo huyo wa CDM...!!
CCM msikate tamaaaaa huu ndo muda wa kujipanga na kuja na nguvu mpya uchaguzi ujao wa chuo. CCM hoyeeeee....!!! kidumu chama cha mapinduzi, ndg wajumbe napenda kuwasilisha.
duh,na udom walisema kama wewe,mwisho wa siku tunaa mbia aliye shinda ni "gamba"
Kipimo kizuri ni Uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2013 ndipo mtajua kama CCM imechoka! Chaguzi za kuchagua vilanja vyuo vikuu sio kipimo!
kwani kufanya siasa ni dhambi?
Poti acha kutuaibisha, huwa hatuko hivyo hata siku moja.
Uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika 2014, lada uniambie umebadilisha mwaka wa uchaguzi!!
BTW, Viranja(sio vilanja) wa vyuo vikuu ni wapiga kura halali ndani ya nchii, hata hivyo vyuo vikuu hatuna viranja. Inawezekana umejisahau ukataja vilanja bila kukusudia kwakuwa huo ndo mkakati wa chama cha magmaba kwa sasa kwa kuona hamkubaliki na wananfunzi wa vyuo vikuu kwahiyo mmeamua kujielekeza shule za msigi ndiko mnaongea na vilanja!!
Mwanza uchaguzi wa viongozi wa wamachinga nako ccm ilipigwa chali na cdm...
Kwani chaguzi za vyuo nazo kila chama kina simamisha mgombea?
Matusi ya nini sasa! Nenda kasome usipoteze muda hapa JF na mambo yako ya kijinga ya siasa za vyuo! Rais wa chuo ni kilanja tu wa chuo sasa unataka watu wapoteze muda kujadili upuuuzi wako wa cheap politics za chuo! What a shame!
Kwani siasa inaanzia wapi, ukimaliza chuo tu, mbona toka enzi za mwalimu alika anasomesha makada wa ccmHao vijana wameenda chuo kusoma or kujiingiza kwenye siasa? Poor Tanzania, kwa mtindo huu hatutafika!
kumbe hivo tu...!!!
na hapo washukuru kuwa hicho chuo hakibagui wanafunzi kutokana na itikadi zao, la sivyo asingesajiliwa kwa masomo huyo wa CDM...!!
CCM msikate tamaaaaa huu ndo muda wa kujipanga na kuja na nguvu mpya uchaguzi ujao wa chuo. CCM hoyeeeee....!!! kidumu chama cha mapinduzi, ndg wajumbe napenda kuwasilisha.
Hao vijana wameenda chuo kusoma or kujiingiza kwenye siasa? Poor Tanzania, kwa mtindo huu hatutafika!
duh,na udom walisema kama wewe,mwisho wa siku tunaa mbia aliye shinda ni "gamba"
Kwani chaguzi za vyuo nazo kila chama kina simamisha mgombea?