Uchaguzi 2020 CCM: Wenye wenza upinzani watupishe

Uchaguzi 2020 CCM: Wenye wenza upinzani watupishe

kizuiani

Member
Joined
Jul 12, 2020
Posts
73
Reaction score
130
Chama cha Mapinduzi kimetoa Rai kupitia katibu mwenezi jimbo la Kawe kuwa wanachama wake wenye wenza kuondolewa katika mikakati ya ushindi baada ya kubainika kuwa miongoni mwao wanatoa siri za chama na hatimaye kumpa wakati mgumu mgombea wa jimbo hilo, Askofu Gwajima.
 
Hivi naachaje kumchagua Lissu na Chadema wakati ana Sera ya kumsomesha hata mwanangu ambaye nimemsomesha private?

Hivi naachaje kumchagua Lissu na Chadema ambae anarudisha makato ya mikopo ya bodi ya mikopo kutoka asilimia 15 ya magufuli hadi asilimia 6?

Hivi naachaje kumchagua Lissu na Chadema ambaye ametoa Sera ya kunijali mimi mlipa kodi na mfanyabiashara kwa kuniwekea mswada wa kunilinda mimi mlipa kodi ili TRA wasininyanyase?

Hivi naachaje kumchagua Tundu Lissu na Chadema ambaye hataniwekea mipaka kwenye masoko ya kuuza mazao yangu niliyoyalima kwa jasho kubwa?

Hivi naachaje kumchagua Tundu na Chadema Lissu mwenye Sera ya kurudisha katiba mpya ya warioba itakayoweka misingi ya utawala bora na kuondoa matumizi mabaya ya madaraka?
 
Yani hiyo ndiyo raha yetu vijana wa pipossss... Tunawala na siri wanaleta kama kawaida!
Siri ya Kawe tunaijua sisi!
Mkuu tuwagonge sana hawa! Niko nagonga mbunge wa CCM vitu maalum sasa hivi anatafuta jimbo! Mikakati yote jinsi watakavyoshinda (ingawa maji yako shingoni) ananiambia!!
 
Tusifike huko. Hizi ni siasa mbaya sana. Tutaanza kutenganisha mtu na mwenza wake, tutakuja na kutenganisha watu na wazazi na watoto wao kisha hatutashirikiana hata kwenye misiba na harusi kisa itikadi za vyama!!!
 
Viva Magu
Heil JPM
Hivi naachaje kumchagua Lissu na Chadema wakati ana Sera ya kumsomesha hata mwanangu ambaye nimemsomesha private???

Hivi naachaje kumchagua Lissu na Chadema ambae anarudisha makato ya mikopo ya bodi ya mikopo kutoka asilimia 15 ya magufuli hadi asilimia 6???

Hivi naachaje kumchagua Lissu na Chadema ambaye ametoa Sera ya kunijali mimi mlipa kodi na mfanyabiashara kwa kuniwekea mswada wa kunilinda mimi mlipa kodi ili TRA wasininyanyase????

Hivi naachaje kumchagua Tundu Lissu na Chadema ambaye hataniwekea mipaka kwenye masoko ya kuuza mazao yangu niliyoyalima kwa jasho kubwa????

Hivi naachaje kumchagua Tundu na Chadema Lissu mwenye Sera ya kurudisha katiba mpya ya warioba itakayoweka misingi ya utawala bora na kuondoa matumizi mabaya ya madaraka?
 
Ah ah haya ndiyo mataga ati yaliota kuwa 2020 chadema itakuwa imekufa.

nakiona hiki kilio chao kama a last kick of a dying horse.

Ccm na mkufe tu
Chama cha mapinduzi kimetoa rai kupitia katibu mwenezi jimbo la Kawe kuwa wanachama wake wenye wenza kuondolewa katika mikakati ya ushindi baada ya kubainika kuwa miongoni mwao wanatoa siri za chama na hatimaye kumpa wakati mgumu mgombea wa jimbo hilo, Askofu Gwajima.
 
Chama cha mapinduzi kimetoa rai kupitia katibu mwenezi jimbo la Kawe kuwa wanachama wake wenye wenza kuondolewa katika mikakati ya ushindi baada ya kubainika kuwa miongoni mwao wanatoa siri za chama na hatimaye kumpa wakati mgumu mgombea wa jimbo hilo, Askofu Gwajima.
Naona sasa ubaguzi wa wazi wazi. Hata madhehebu ya dini hayaja fika huko.. Ccm kweli baba lao
 
Back
Top Bottom