CCM Wilaya ya Tabora yampa onyo kali Komanya kwa kuwatishia wajasiliamali na askari ili wanunue vitambulisho!

CCM Wilaya ya Tabora yampa onyo kali Komanya kwa kuwatishia wajasiliamali na askari ili wanunue vitambulisho!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Katibu wa CCM wilaya ya Tabora mjini ndugu Mrema amemtaka mkuu wa wilaya hiyo mh Komanya kuacha mara moja tabia ya kuwavamia wajasiriamali akiwa na polisi na kuwataka wanunue vitambulisho kwa lazima.

Mrema amesema wamempa onyo DC Komanys kwa sababu kila wakimwita kwenye vikao anapiga chenga.

Naye DC Komanya amesema hajawahi kuitwa kwenye kikao chochote na kwamba Serikali na CCM ni kitu kimoja hivyo Katibu Mrema afuate taratibu za utendaji kazi.

Source EATV habari

Maendeleo hayana vyama!
 
Laana hiyo,
Kama ilivyotokea ktk ujenzi wa mnara wa babeli, Mungu alichanganya ndimi zao wakashindwa kuelewana.
Ndivyo inavyotokea ndani ya ccm.

MTAKOMA MWAKA HUU
 
Asubiri baada ya CCM kupata kura ndio aanze mambo ya vitambulisho
 
Back
Top Bottom