Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 7,207
- 17,674
CCM mpya ya awamu ya tano haikuishia kuongoza kwenye kuwaletea maendeleo watanzania tu mbali iliongoza pia kwenye kutoa misamaha ya dhati kwa wanachama wake waliofanya makosa mbalimbali kwenye chama kipindi hicho.
Miongoni mwa misururu ya wanufaika wa misamaha hiyo ni pamoja na makamu mwenyekiti mpya bwana KINANA, wengine ni Nape, Makamba, Ngeleja, Sofia Simba etc.
Kwahiyo porojo zinazoenezwa na wanasiasa uchwara waliofilisika kichwani wa CHADEMA kwamba CCM ya Dk Bashiru, Dk Magufuli na Polepole iliongoza kwa ukatili wa kufukuza watu siyo kweli na ushahidi upo hadharani
Miongoni mwa misururu ya wanufaika wa misamaha hiyo ni pamoja na makamu mwenyekiti mpya bwana KINANA, wengine ni Nape, Makamba, Ngeleja, Sofia Simba etc.
Kwahiyo porojo zinazoenezwa na wanasiasa uchwara waliofilisika kichwani wa CHADEMA kwamba CCM ya Dk Bashiru, Dk Magufuli na Polepole iliongoza kwa ukatili wa kufukuza watu siyo kweli na ushahidi upo hadharani