Mbona mnamsingizia Mungu Mambo ya hovyo?Sema walimua Magufuli.Yaan mnamua mtu Halafu mnamsingizia Mungu.Huo ni uhuni.Wenzenu waliamua kwenda madhabahuni na kumlilia Mungu wao, nanyi enendeni hivyohivyo mkatubu Kwa Mungu wenu mtasamehewa.
Mkuu hapo umejitahidi Sana kujibu kwa hoja!Unahangaika sana kama kuku anayetaka kutaga
🤣🤣🤣Unahangaika sana kama kuku anayetaka kutaga
Wakati Makonda anampiga ngumi Mzee Warioba awamu ya nne akapewa ukuu wa wilaya Kinondoni ulikuwa bado hujazaliwa?Nakubaliana nawe lkn tukumbushane pia kuwa ni CCM ya awamu ya tano hiyohiyo ndiyo ilianzisha mtindo wa kudukua mawasiliano ya watu kinyume na katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kisha kuyatumia kuwahukumu.Tuendelee kukumbushana tu kuwa ni CCM ya awamu ya tano iliasisi mtindo wa kuwaruhusu vijana kuitisha press conference na kuwakashifu na kuwatukana wazee wetu waliolitumikia taifa hili kwa heshima.Ninaendelea kukumbusha tena kuwa ni CCM ya awamu ya tano iliyoasisi biashara ya watumwa kwa kuwanunua viongozi wa upinzani kwa bei ya kutupwa wakiwaacha watanzania katika dimbwi la umasikini.
Unayoiita CCM mpya ya Awamu ya 5 likikuwa ni genge la MWEHU mmoja toka Chato na ndugu zake akina Bashiru.
Mambo ya kishetani alivyofanya Magufuli asingeweza ku survive. Huwezi kuwatenga watu waliokupigania day and night ukawa Rais halafu unakuja kujaza washamba wenzio akina Polepole, Mpogoro, Bashiru, na Makonda!! Lazima UFE kifo chochote
Watu tunatafuta uwezekano wa kwenda kunya kwenye kaburi la Mwendazake pale Chato, wewe unaleta mambo yasiyomithilika.
Nimeamini ule msemo kuwa "hata wapumbavu huzeeka". johnthebaptist unazeeka kipumbavu
Shinda vijana wahumo wamenyeakambi,wasemavyo waswahili🤔.Kama kazi yao nikuimba pambio za sifa TU ili waonekane na kuongelewa mlo wao kwanini wasirudi wazee wenye hekima🧓Ni ajabu sana watu waliouza na kujibinafisha mali za chama leo hii ndio wamerudi kushika chama, na leo hii tunawasikia akina Makamba wakijinasibu kuwa katika awamu hii wanalamba asali, hiki chama ni kama genge fulani la kakikundi fulani ka walewa madaraka, inabidi sasa tuwaachie hii SACCOS yao. Tunawahitaji watu shupavu kutoka kwenye CCM kuikomboa tena CCM yetu ya mfanyakazi na mkulima na si ya hawa washihiri.