CCM ya Awamu ya Tano ilisamehe wengi akiwemo Kinana

Etwege

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2018
Posts
7,207
Reaction score
17,674
CCM mpya ya awamu ya tano haikuishia kuongoza kwenye kuwaletea maendeleo watanzania tu mbali iliongoza pia kwenye kutoa misamaha ya dhati kwa wanachama wake waliofanya makosa mbalimbali kwenye chama kipindi hicho.

Miongoni mwa misururu ya wanufaika wa misamaha hiyo ni pamoja na makamu mwenyekiti mpya bwana KINANA, wengine ni Nape, Makamba, Ngeleja, Sofia Simba etc.

Kwahiyo porojo zinazoenezwa na wanasiasa uchwara waliofilisika kichwani wa CHADEMA kwamba CCM ya Dk Bashiru, Dk Magufuli na Polepole iliongoza kwa ukatili wa kufukuza watu siyo kweli na ushahidi upo hadharani


 
Wenzenu waliamua kwenda madhabahuni na kumlilia Mungu wao, nanyi enendeni hivyohivyo mkatubu Kwa Mungu wenu mtasamehewa.
 
Huyo mtu wako unayeangaika kumtetea tunajua tayari ameshakufa mwache ajitetee mwenyewe huko alipo.
Kila mtu anajua jinsi alivyokuwa akijiona yeye ni mungu mtu,alipenda sana kunyenyekewa.
 
Wakati Makonda anampiga ngumi Mzee Warioba awamu ya nne akapewa ukuu wa wilaya Kinondoni ulikuwa bado hujazaliwa?
 
Watu tunatafuta uwezekano wa kwenda kunya kwenye kaburi la Mwendazake pale Chato, wewe unaleta mambo yasiyomithilika.

Nimeamini ule msemo kuwa "hata wapumbavu huzeeka". johnthebaptist unazeeka kipumbavu
 
Kuna sisi chawa wa ngazi za chini hatufungamani na awamu yoyote...sasa hivi tunasimama na Kinana🐒🤸🤣
 
Shinda vijana wahumo wamenyeakambi,wasemavyo waswahili🤔.Kama kazi yao nikuimba pambio za sifa TU ili waonekane na kuongelewa mlo wao kwanini wasirudi wazee wenye hekima🧓
 
Sad to see this drop of moral behavior from the top guys. 100% wajiandae kusemwa na kudharaulika pia. Karma kama Karma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…