Elections 2010 CCM ya leo hovyo kabisa

Elections 2010 CCM ya leo hovyo kabisa

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2010
Posts
10,827
Reaction score
4,176
Kuna mzee mmoja kada wa CCM nilifanya naye mazungumzo kidogo kuhusu chama chao.

Nikamuuliza swali: "Kwa nini mumekubali Kikwete agombee tena Urais mwaka huu wakati amevuruga nchi na haaminiki tena?"

Jibu: "Hata sisi tunajua kuwa Kikwete ni hovyo. Lakini utaratibu wetu(CCM) ni kila rais aongoze miaka 10."

Swali: "Atashinda?"

Jibu: "Lazima"

My Take:
Kumbe ndiyo sababu Kikwete amekuwa akiahidi mamia ya ahadi na hata kuwanadi mafisadi wenzake. Ana kinga ya chama (siyo ya Watanzania) kwamba hakuna mtu wa kumzuia kugombea.

Kama Mkwere atashinda, basi wanaomshabikia na tusio mshabikia WATAJUTA.
 
Kweli kabisa mkuu Ong'wise.

wana sisiemu kama Omar Ilyas watakuambia kuwa wewe unamchukia Kikwete kwa sababu sio mkatoliki.
 
Kweli kabisa mkuu Ong'wise.

wana sisiemu kama Omar Ilyas watakuambia kuwa wewe unamchukia Kikwete kwa sababu sio mkatoliki.

Kikwete kama Rais simchukii hata kidogo.

Lakini Kikwete kama Rais wa nchi yangu, SITAKI HATA KUMSIKIA.

Rais gani anachezewa kama mdori halafu anaona fahari na kucheka-cheka?
 
Back
Top Bottom