Uchaguzi 2020 CCM yaanza kampeni kimya kimya. Tulia aanza kula kwa Mama Lishe, wananchi waziponda mbinu hizo; yadaiwa zimepitwa na wakati

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426


Kitendo cha viongozi wake kuzunguka mitaani bila jambo lolote la Msingi huku wakizongwa na wafuasi waliobeba bendera za chama chao kimetafsiriwa kama ni ishara ya kuanza kampeni kabla ya muda .

Hii ni kinyume kabisa cha sheria za uchaguzi ambapo kampeni zinapaswa kufanyika katika muda uliowekwa na tume huku vyama vyote vikishiriki .

 
Hii hofu yenu imepitiliza. Na hofu hii ni mpango mkakati iwaingie mpaka mifupani. Yaani mtu asiende kula mtaani kisa....anaenda kula kwa atakaowawakilisha...
 
Hajapata kampeini meneja mzuri,,hebu nipeni namba yake nibonge nae jinsi vile ataweza shinda
 

Akale hata kwa Baba ntilie, tumesha wafahamu hao. Wana tabia ya kubebembeleza kama paka anayetaka mfupa, ukishampa, ukiushika, anakuparua.
 
Hiyo picha ya pili, kuna mtu amevaa raba na jaketi lilelile, akamechisha na shati na akaichomekea kwenye suruali ya kitambaa....[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Acha akapambane wananchi ndio wakaamue wenyewe.
 
Ni kama vile Lowassa alipopanda daladala la Chanika mwaka 2015.
 
Bunge limeisha hivo tulia sio kiongozi kwa sasa ni mwanamchi hivo kunchangamana na wananchi wenzake sio shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…