Kwa mujibu wa habari ndani ya Mwananchi, Bwana Kinana amekiri kuwa CCM imepoteza viti 29 Tanganyika na 22 Zanzibar. Anasema urahisi wanashinda kwa asilimia 78.4. Hii inaonyesha jinsi gani matokeo yanavyopangwa na CCM jinsi watakavyo. Ametoa wapi hizo data kabla hayajatangazwa hata nusu ya majimbo. Huu ni uhuni wa CCM.
Kinana amekiri kuwa athari ya kuanguka kwa CCM inatokana na migogoro ya kura za maoni .
Kwa mujibu wa habari ndani ya Mwananchi, Bwana Kinana amekiri kuwa CCM imepoteza viti 29 Tanganyika na 22 Zanzibar. Anasema urahisi wanashinda kwa asilimia 78.4. Hii inaonyesha jinsi gani matokeo yanavyopangwa na CCM jinsi watakavyo. Ametoa wapi hizo data kabla hayajatangazwa hata nusu ya majimbo. Huu ni uhuni wa CCM.