CCM yamjulia hali muasisi wa TANU na mpigania Uhuru anayepatiwa matibabu MOI

Huu ni unafiki kwa nini hawakwenda tangu mwanzo hadi shekhe ponda alipolalamika huko twiter ndo shaka kwa mashaka yake anajifanya kwenda.
Huyo mgonjwa amshukuru sana shekhe ponda bila hivyo hata asingejulikana.
Ugua pole mzee wetu.
Wameogopa aibu
 
Huyu wakoloni waliupa jina lake mtaa mmoja eneo la Ng'ambo Tabora, mtaa huo unaitwa Rehani.
 
Uliwahi kusikia mtoto wa Bilal Rehani akiandamana?
Uko sahihi Mbowe kama mtoto wa mpigania uhuru mbona kutwa kuitisha maandamano kupinga CCM mbona watoto wa wapigania uhuru kama wa Nyerere ,Mwinyi,mzee Karume,Mzee Mzee Rupia,nk waliotulia mbona wako utawala wa nchi

Mbowe Mkwewe Mtei ndie alimtoa akili kutojuelewa kuwa yeye ni familia ya mpigania uhuru kwa kunogewa na mke na alipopewa Chadema na Baba mkwe Mtei adui wa Nyerere akajisahau kabisa akajua kuwa hata ile Bilicanas Club ilikuwa nyumba ya familia kumbe ilikuwa nyumba ya NHC iliyokuwa na ofisi za usalama ndani baba yake ndie alijua ila kwa kuwa alimuona Mbowe bwege hakumpa siri

Mitoto ya wakubwa msiiojielewa mtajijua akashangaa grader inapiga chini bilicanas pamoja na uwekezaji wote alifanya kuambiwa lete hati ya umiliki kama ni ya baba yako akabaki kutoa mimacho tu kama mjusi kafiwa na mkwewe

Huyo mzee si kuwa kaibuliwa kuna wazee kibao maofisa vipenyo walifichwa majina yao waliopigania uhuru sababu kuwa walipewa nafasi nyeti kimya kimya usalama wa taifa kulinda uhuru uliopatikana lakini walipostaafu walilipwa vizuri mno ila matumizi yakawa mabovu ya pesa ndio baadaye wanakuwa na mikelele ohhh tumeifanyia mambo makubwa nchi ona sasa sasa tumetelekezwa!!! Mfano Yuko katibu mkuu wa Raisi Nyerere anaitwa Opiyo baada ya kustaafu kutwa alikuwa kulalamika magazetini kuwa serikali imemtelekeza baada ya utumishi uliotukuka wakati alilipwa mafao vizuri mno tena makubwa kipindi chake kuliko mfanyakazi yeyote wa serikali wakati huo
 
Good done
 

Acha dhihaka. Umekuwa too emotional na personal kwa Mbowe. Mbona makongoro aliwahi kuwa mbunge wa upinzani Arusha kwa NCCR Mageuzi?. Wakati baba yake ndio kinara wa upiganiaji Uhuru Tanzania.
 
nahisi amekaribia ku r.i.p bila shaka!! Allah ampe afya njema!!
 
Tupe ushahidi km kweli kaenda kumsalimia kwa niaba ya ccm, au kaenda kwa binafsi yake. Watu wa kujipendekeza kazi mnayo

Sent from my TECNO BC2c using JamiiForums mobile app
 
Niliwahi kuona mahojiano akihijiwa, alimchana sana Nyerere kwa umbuzi aliowafanyia wenziwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…