Elections 2010 CCM yatenga mabilioni kuwaghilibu mawakala wa CHADEMA!

Mwaka huu wajiandae kuleta wapatanishi hata marais jirani hawataweza labda aje Kofi Anan na Ban ki-Moon. Nimesha acha wosia nyumbani inawezekana siku ya kupiga kura yakawepo matanga na inawezekana wasinione milele. Take my words.

we are together mkuu. i rather die than being alive and see that bastard slave me again.
 

please, nitakuwa mmojawapo, kwa gharama zangu naomba niwe wakala.
 

Sawa bwana Nicky82. Peace mwanangu. :smile-big:
 
we are together mkuu. i rather die than being alive and see that bastard slave me again.

Kwa sababu jamaa atashinda tu, basi bora mjikusanye halafu mfanye show live kwenye Internet "Live Mass Suicide". Hiyo inaweza kusaidia kukusanya fedha zitakazowasaidia ndugu na jamaa zenu baada ya nyie kuondoka. JF inaweza kudhamini hiyo show. :becky:
 

Mwanaharakati umenena, ni vema kwa sasa chadema makao makuu watengeneze secretariet itakayokuwa inachambua kwa kina michango ya mawazo inayotolewa na wana-JF kwa kila siku.Lazima ifanyike critical analysis and summarization for chadema consumption and voters.Ikiwezekana feedback itolewe kufikisha ujumbe ule.
Michango yenye misingi mizuri kama itafanyiwa kazi CHADEMA watanufaika na pia sisi wadau wa democracia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…