Kwenye kampeini za ubunge kuna mambo na vitimbi huko lumumba.
Huyu hapa niwanachama wa ccm akiiumbua ccm na kuwaambia ukweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ccm inatakiwa iseme imefanya nini siokila uchaguzi nitafanya nitafanya maji ndiokete yaokubwa kila uchaguzi Mantua mama ndoo kichwani tumechoka naahadi ahadi watoe wapinzaniKwenye kampeini za ubunge kuna mambo na vitimbi huko lumumba.
Huyu hapa niwanachama wa ccm akiiumbua ccm na kuwaambia ukweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni MWANACCM anayeamini Nitasema Kweli Daima kama ahadi ya mwana CCM inavyosema.Historia: Kirumbe Ngande ametokea wapi : kikazi: kisiasa Kilumbe Ng'enda: Mbunge Azzan Anahusika na Biashara ya Dawa za Kulevya
On broad day light! Wajumbe mwaka huu hawaskilizi ahadi za uongo. Cheki jamaa anavyonynganya maikiπ πKwenye kampeini za ubunge kuna mambo na vitimbi huko lumumba.
Huyu hapa niwanachama wa ccm akiiumbua ccm na kuwaambia ukweli.
View attachment 1566839
Sent using Jamii Forums mobile app
Wagombea wa ccm hawana sera. Lazima wampinge Rais wao ili wapate cha kuongea. Hali ya maisha iliyosababishwa na Magufuli ni mbaya.10 September 2020
Kigoma, Tanzania
Kampeni za Ubunge 2020, mgombea wa CCM akosoa sera za CCM Mpya
Kirumbe Ngenda mgombea ubunge wa CCM Kigoma mjini akosoa sera za serikali ya CCM Mpya kufanya mzunguko wa fedha kuwa mdogo sana Kigoma
Mzunguko wa pesa sio majengo na lami.π π10 September 2020
Kigoma, Tanzania
Kampeni za Ubunge 2020, mgombea wa CCM akosoa sera za CCM Mpya
Kirumbe Ngenda mgombea ubunge wa CCM Kigoma mjini akosoa sera za serikali ya CCM Mpya kufanya mzunguko wa fedha kuwa mdogo sana Kigoma
Kwa kweli kama si ubabe wa Magufuli ccm ingekuwa haina tumaini lolote kwa sasa na ingepoteza kwa margin ya kutisha watu wamechoka maneno aiseeKwenye kampeini za ubunge kuna mambo na vitimbi huko lumumba.
Huyu hapa niwanachama wa ccm akiiumbua ccm na kuwaambia ukweli.
View attachment 1566839
Sent using Jamii Forums mobile app
Duhhh jamaa kamsema Magu wazi wazi no money mtaaniMzunguko wa pesa sio majengo na lami.π π
Huyu tayari ameshaangushwa yaani kampeni 2 tu? Tayari sauti imeshagoma?10 September 2020
Kigoma, Tanzania
Kampeni za Ubunge 2020, mgombea wa CCM akosoa sera za CCM Mpya
Kirumbe Ngenda mgombea ubunge wa CCM Kigoma mjini akosoa sera za serikali ya CCM Mpya kufanya mzunguko wa fedha kuwa mdogo sana Kigoma
Kwenye kampeini za ubunge kuna mambo na vitimbi huko lumumba.
Huyu hapa niwanachama wa ccm akiiumbua ccm na kuwaambia ukweli.
View attachment 1566839
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa kaona wanaumbuliwa na mwanachama wao akaona isiwe shidaOn broad day light! Wajumbe mwaka huu hawaskilizi ahadi za uongo. Cheki jamaa anavyonynganya maiki[emoji28][emoji28]
Chadema huyo anasema ana kadi ya CCM ya mwaka 1962 mwongo miaka hiyo ilikuwepo TANU sio CCMKwenye kampeini za ubunge kuna mambo na vitimbi huko lumumba.
Huyu hapa niwanachama wa ccm akiiumbua ccm na kuwaambia ukweli.
View attachment 1566839
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha kurusha ngumi hewani, kitu kinaonekana na kinasikika hayo mapovu ni ya nini sasa?Hovyo kabisa nyie chadema, kiswahili gani sasa, unapoandika HUYU HAPA NI WANACHAMA WA CCM. we we hata elimu ya ngumbalo umesoma kweli?? Halafu usikute we we ndo tumaini makene eti anakutegemea kwa kusambaza propaganda, hovyo kabisaa.
Wewe wacha ukazuzu wa mambo ya siasa, ccm ni zao la Tanu hilo halina ubishi.Chadema huyo anasema ana kadi ya CCM ya mwaka 1962 mwongo miaka hiyo ilikuwepo TANU sio CCM
Chadema ndio lugha hai utasikia CCM ilikuwepo madarakani Saudi ya miaka hamsini wakihesabu kuanzia mwaka 1961 Tanzania ilipopata uhuru wakati CCM ilizaliwa 1977
Huyo mzee fix my Chadema aliyevaa nguo mtumba za CCM
Mtu wenye huyo Chadema hakuna kadi ya CCM ya mwaka 62
Watu wa kipindi hiki siyo wa kuwadanganya kama wa miaka ya 80, watu sasa hivi wana hoji nini umewafanyia!Ccm inatakiwa iseme imefanya nini siokila uchaguzi nitafanya nitafanya maji ndiokete yaokubwa kila uchaguzi Mantua mama ndoo kichwani tumechoka naahadi ahadi watoe wapinzani