Hii clip inawaumiza sana mataga, ogopa sana technology!Jamaa kamfukuza kiutu uzima eti tutaongea baadaye [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwenye kampeini za ubunge kuna mambo na vitimbi huko lumumba.
Huyu hapa niwanachama wa ccm akiiumbua ccm na kuwaambia ukweli.
View attachment 1566839
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ajiangalie Jiwe asije akatengua uteuzi wake hata kabla ya kupigiwa kura10 September 2020
Kigoma, Tanzania
Kampeni za Ubunge 2020, mgombea wa CCM akosoa sera za CCM Mpya
Kirumbe Ngenda mgombea ubunge wa CCM Kigoma mjini akosoa sera za serikali ya CCM Mpya kufanya mzunguko wa fedha kuwa mdogo sana Kigoma
Hali ni mbaya sana, watu wengine sasa hivi wanapata mlo mmoja tu kwa sikuWagombea wa ccm hawana sera. Lazima wampinge Rais wao ili wapate cha kuongea. Hali ya maisha iliyosababishwa na Magufuli ni mbaya.
Mzee amewaumbua nyinyi matapeli wa kisiasa, kila mwaka mna waahidi hewa tangu uhuru hadi sasa!Haaaaa haaaaa mumevurugwaaaa, kila kiki inawabumiaaa. Hovyokabisaa. Mlidhani kampeni ni uanaharakati wa kupayukapayuka?
Naanza kuamini kuwa hiyo sgr hata Tabora haitafika na itabakia kwenye vitabu vya historia tuKwa kweli kama si ubabe wa Magufuli ccm ingekuwa haina tumaini lolote kwa sasa na ingepoteza kwa margin ya kutisha watu wamechoka maneno aisee
Imagine mtu anakwambia kajenga sgr wakati hata Morogoro haijafika kikamilifu ndani ya miaka 3 sasa si itafika Mwanza 2035?
Ccm sasa hivi ipo icu, tumaini lao lilibakia vijijini tu ambako iliamini kuwa watu bado hawaja elimika vya kutosha kuweza kuhoji haki zao za msingi.Kama hadi hawa wazee wanasema bora wachague vyama vingine basi CCM ipo maji ya shingo.
Wacha ujinga wewe, kwahiyo akale hiyo mic?Mzee Mwenyewe anaonekana Facial Expression kuwa amekaririshwa maneno. Nenda kaongeee hivi hata hajui hata Umeme wa Mike aliyoishika ni Maendeleo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Haifiki hiyo bhana!!! Labda tufe kwa njaa ndio ifike kama waswahil wasemavyo punda afe mzigo ufikeKwa kweli kama si ubabe wa Magufuli ccm ingekuwa haina tumaini lolote kwa sasa na ingepoteza kwa margin ya kutisha watu wamechoka maneno aisee
Imagine mtu anakwambia kajenga sgr wakati hata Morogoro haijafika kikamilifu ndani ya miaka 3 sasa si itafika Mwanza 2035?
Nenda mikutanoni ya CCM ukasikilize au ingine YouTubeCcm inatakiwa iseme imefanya nini siokila uchaguzi nitafanya nitafanya maji ndiokete yaokubwa kila uchaguzi Mantua mama ndoo kichwani tumechoka naahadi ahadi watoe wapinzani
Kwa kukurupuka hukumwelewa! Pole sana10 September 2020
Kigoma, Tanzania
Kampeni za Ubunge 2020, mgombea wa CCM akosoa sera za CCM Mpya
Kirumbe Ngenda mgombea ubunge wa CCM Kigoma mjini akosoa sera za serikali ya CCM Mpya kufanya mzunguko wa fedha kuwa mdogo sana Kigoma
Wewe mtoto wa juzi tu mzee anaijuwa CCM tangia miaka hio na anasema mnaeka ahadi hewa hadi mumempokonya mike.Nenda mikutanoni ya CCM ukasikilize au ingine YouTube
CCM inaanza kwanza kueleza kwenye miaka mitano iliyopita imefanya nini halafu ndio inaeleza mitano ijayo itafanya nini
Unajua wewe uko dunia yako unayoijua mwenyewe
Hivi husikii CCM inaposema tumejenga shule,barabara,reli,vituo vya afya,mashule nk?
Unaumwa au? Ulichoandika ujinga mtupu.Maskini hivi wewe in a hata kaelimu kadogo tu? Kajiendeleze walau nakuonea huruma ujinga usio hai mkubwa mob.Utapata tabu maisha
Wacha mapovu mwanachama mwenzenu kaamua kuwavua nguo sasa wewe badala ya uchutame unaaza kumkimbiza huyo mwana chama aliye wavua nguo.Nenda mikutanoni ya CCM ukasikilize au ingine YouTube
CCM inaanza kwanza kueleza kwenye miaka mitano iliyopita imefanya nini halafu ndio inaeleza mitano ijayo itafanya nini
Unajua wewe uko dunia yako unayoijua mwenyewe
Hivi husikii CCM inaposema tumejenga shule,barabara,reli,vituo vya afya,mashule nk?
Unaumwa au? Ulichoandika ujinga mtupu.Maskini hivi wewe in a hata kaelimu kadogo tu? Kajiendeleze walau nakuonea huruma ujinga usio hai mkubwa mob.Utapata tabu maisha
Hakuna CCM ya miaka ya 62 wewe hata awe kikongwe huyo mzee mjinga tu huyoWewe mtoto wa juzi tu mzee anaijuwa CCM tangia miaka hio na anasema mnaeka ahadi hewa hadi mumempokonya mike.
Wameona mambo yamesha haribika dadeeekiWewe mtoto wa juzi tu mzee anaijuwa CCM tangia miaka hio na anasema mnaeka ahadi hewa hadi mumempokonya mike.
Leo hii unamtukana mzee kisa kawakosoa? Huyo mzee kosa lake nini?Hakuna CCM ya miaka ya 62 wewe hata awe kikongwe huyo mzee mjinga tu huyo
Kuna wajinga vijana na wako wazee wajinga huyo ni mzee mjinga