Uchaguzi 2020 CCM yazidi kujihakikishia ushindi Uchaguzi Mkuu Kanda ya Ziwa

Uchaguzi 2020 CCM yazidi kujihakikishia ushindi Uchaguzi Mkuu Kanda ya Ziwa

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
8,734
Reaction score
5,750
Hatimae ile meli maarufu katika ziwa victoria New MV Victoria hapa kazi tu inanza safari zake hapo siku ya jumapili. Na kwa wakazi wa eneo la Kanda ya Ziwa huu ni ukombozi mkubwa kwa uchumi wa eneo hilo. Maana zaidi ya miaka saba usafiri toka Mwanza kwenda mkoani Kagera ulikuwa ni kwa njia ya barabara. Japokuwa barabara ni mkeka wa maana tokea Mwanza mpaka Bukoba mkoani Kagera lakini ulikuwa ni gharama Kubwa.

Wafanyabiashara wa ndizi wao walikuwa wanaumia zaidi sababu tani moja kwenye lori ni zaidi ya laki moja. Ila kwenye meli ni kama elfu ishirini na tano. Na kwao huu usafiri ni faraja kubwa. Pia, hata kwa abiria nauli ya meli ni karibu ya robo ya ile ya mabasi.

Kwa mantiki hii CCM inasubiri shukurani ya kura toka kwa wakazi wa Kagera na eneo zima la kanda ya ziwa victoria. Na projections zinaonyesha 98% ya kura za wananchi wa eneo hili sasa ni zawadi kwa CCM kwa kutekeleza ahadi aliyoitoa JPM ya kukarabati meli hii pamoja na Mv Butiama hapa kazi tu.

CHADEMA na wapinzani uchwara kama Act wazalendo ambao ni vibaraka wa mabeberu wasitarajie kupata hata kiti cha udiwani.
 
CCM kwa visa wanavyowafanyia upinzani, "POLISI, TRA, TISS, JESHI, WAKUU WA MIKOA, WAKUU WA WILAYA, WAKUU WA VITONGOJI, MAHAKAMA, NEC, TBC, CHANNEL 10" ndio kikosi chao 1st Eleven, halafu bado hawajiamini na wana vifua vya kujigamba.

Waweke "FAIR PLAY" waone balaa lake watakalokutana nalo.
 
Ukombozi gani wakati mwanza tu bukoba masaa 9 kwa buss ni 20000 tu. Inamaana watu walikuwa hawawezi kusafiri?
 
Nasikia Bibi Husna wa chato anawasumbua ccm vibaya. Nadhani tumwache apambane na ccm kanda ya ziwa anawatosha sana.
Anafikiri nae atakuwa special chairs si unajua Tena Mwenyekiti ni kiwembe balaa aendelee kupiga kelele anaweza kuokota dodo chini ya mnazi
 
Sijui chadomo watasema waliwafanyia Nini wapiga kura

Kiasi kikubwa cha watu wa aina yako ndio tatizo la msingi la nchi hii. Small dreams!! Small dreams!!

Bro ukiendeleza hizi small dreams, mafanikio utayasikia na kuyaona kwa wengine tu!!
 
Kiasi kikubwa cha watu wa aina yako ndio tatizo la msingi la nchi hii. Small dreams!! Small dreams!!

Bro ukiendeleza hizi small dreams, mafanikio utayasikia na kuyaona kwa wengine tu!!
Kumarisha miundo mbinu sio suala dogo.
 
Sijui chadomo watasema waliwafanyia Nini wapiga kura
Kwa hiyo wewe ulitegemea kusikia chadomo wanajenga SGR, au Stigla Joji, sio? Kwani serikali inatekeleza ilani ya chama kipi ?
 
Back
Top Bottom