Kwani wakisema tu wamewafanyia nini kipi kinaharibika mkuu acha kujifanya mjuaji wakati unajua hujui..Kiasi kikubwa cha watu wa aina yako ndio tatizo la msingi la nchi hii. Small dreams!! Small dreams!!
Bro ukiendeleza hizi small dreams, mafanikio utayasikia na kuyaona kwa wengine tu!!
Kwa hiyo meli imetengenezwa kwa pesa ya CCM eti. Akili za maccm bwana ni za mgando hivi. Mnasifia mno mpaka akili zinaganda. Yaani meli itegenezwe kwa hela ya wananchi wote halafu halafu tuwashukuru CCM? Wamechangia kiasi gani kuliko wengine?Hatimae ile meli maarufu katika ziwa victoria New MV Victoria hapa kazi tu inanza safari zake hapo siku ya jumapili. Na kwa wakazi wa eneo la Kanda ya Ziwa huu ni ukombozi mkubwa kwa uchumi wa eneo hilo. Maana zaidi ya miaka saba usafiri toka Mwanza kwenda mkoani Kagera ulikuwa ni kwa njia ya barabara. Japokuwa barabara ni mkeka wa maana tokea Mwanza mpaka Bukoba mkoani Kagera lakini ulikuwa ni gharama Kubwa.
Wafanyabiashara wa ndizi wao walikuwa wanaumia zaidi sababu tani moja kwenye lori ni zaidi ya laki moja. Ila kwenye meli ni kama elfu ishirini na tano. Na kwao huu usafiri ni faraja kubwa. Pia, hata kwa abiria nauli ya meli ni karibu ya robo ya ile ya mabasi.
Kwa mantiki hii CCM inasubiri shukurani ya kura toka kwa wakazi wa Kagera na eneo zima la kanda ya ziwa victoria. Na projections zinaonyesha 98% ya kura za wananchi wa eneo hili sasa ni zawadi kwa CCM kwa kutekeleza ahadi aliyoitoa JPM ya kukarabati meli hii pamoja na Mv Butiama hapa kazi tu.
CHADEMA na wapinzani uchwara kama Act wazalendo ambao ni vibaraka wa mabeberu wasitarajie kupata hata kiti cha udiwani.
Ukombozi gani wakati mwanza tu bukoba masaa 9 kwa buss ni 20000 tu. Inamaana watu walikuwa hawawezi kusafiri?
Uko sahihi mkuu,yaani pamoja na refa kuwa wa kwao bado hawajiamini vigisu nyingi jamaa hataki wakurugenzi wawatangaze wapinzani kama wameshinda maajabu hayo only in Tanzania.CCM kwa visa wanavyowafanyia upinzani, "POLISI, TRA, TISS, JESHI, WAKUU WA MIKOA, WAKUU WA WILAYA, WAKUU WA VITONGOJI, MAHAKAMA, NEC, TBC, CHANNEL 10" ndio kikosi chao 1st Eleven, halafu bado hawajiamini na wana vifua vya kujigamba.
Waweke "FAIR PLAY" waone balaa lake watakalokutana nalo.
Wapinzani kanda ya ziwa hawana chao hukooHatimae ile meli maarufu katika ziwa victoria New MV Victoria hapa kazi tu inanza safari zake hapo siku ya jumapili. Na kwa wakazi wa eneo la Kanda ya Ziwa huu ni ukombozi mkubwa kwa uchumi wa eneo hilo. Maana zaidi ya miaka saba usafiri toka Mwanza kwenda mkoani Kagera ulikuwa ni kwa njia ya barabara. Japokuwa barabara ni mkeka wa maana tokea Mwanza mpaka Bukoba mkoani Kagera lakini ulikuwa ni gharama Kubwa.
Wafanyabiashara wa ndizi wao walikuwa wanaumia zaidi sababu tani moja kwenye lori ni zaidi ya laki moja. Ila kwenye meli ni kama elfu ishirini na tano. Na kwao huu usafiri ni faraja kubwa. Pia, hata kwa abiria nauli ya meli ni karibu ya robo ya ile ya mabasi.
Kwa mantiki hii CCM inasubiri shukurani ya kura toka kwa wakazi wa Kagera na eneo zima la kanda ya ziwa victoria. Na projections zinaonyesha 98% ya kura za wananchi wa eneo hili sasa ni zawadi kwa CCM kwa kutekeleza ahadi aliyoitoa JPM ya kukarabati meli hii pamoja na Mv Butiama hapa kazi tu.
CHADEMA na wapinzani uchwara kama Act wazalendo ambao ni vibaraka wa mabeberu wasitarajie kupata hata kiti cha udiwani.
Wanaandaa mazingiraHahaha kwani wameanza kushindana na nani huko kanda ya ziwa?!
Kununuliwa kwa hiyo meli ni wajibu wa serikali iliyoko madarakani wala si hongo kwa wananchi ili ccm wapate kura!!Hivyo wananchi wako huru kuwapiga chini!!.Hatimae ile meli maarufu katika ziwa victoria New MV Victoria hapa kazi tu inanza safari zake hapo siku ya jumapili. Na kwa wakazi wa eneo la Kanda ya Ziwa huu ni ukombozi mkubwa kwa uchumi wa eneo hilo. Maana zaidi ya miaka saba usafiri toka Mwanza kwenda mkoani Kagera ulikuwa ni kwa njia ya barabara. Japokuwa barabara ni mkeka wa maana tokea Mwanza mpaka Bukoba mkoani Kagera lakini ulikuwa ni gharama Kubwa.
Wafanyabiashara wa ndizi wao walikuwa wanaumia zaidi sababu tani moja kwenye lori ni zaidi ya laki moja. Ila kwenye meli ni kama elfu ishirini na tano. Na kwao huu usafiri ni faraja kubwa. Pia, hata kwa abiria nauli ya meli ni karibu ya robo ya ile ya mabasi.
Kwa mantiki hii CCM inasubiri shukurani ya kura toka kwa wakazi wa Kagera na eneo zima la kanda ya ziwa victoria. Na projections zinaonyesha 98% ya kura za wananchi wa eneo hili sasa ni zawadi kwa CCM kwa kutekeleza ahadi aliyoitoa JPM ya kukarabati meli hii pamoja na Mv Butiama hapa kazi tu.
CHADEMA na wapinzani uchwara kama Act wazalendo ambao ni vibaraka wa mabeberu wasitarajie kupata hata kiti cha udiwani.
Mashoga ya Lumumba mnatabu sana mnaonekana mitaro mlishalegezwa na mwenyekit wenu hadi akil zimewatoka machoko nyie na mwenyekit wenu.Hatimae ile meli maarufu katika ziwa victoria New MV Victoria hapa kazi tu inanza safari zake hapo siku ya jumapili. Na kwa wakazi wa eneo la Kanda ya Ziwa huu ni ukombozi mkubwa kwa uchumi wa eneo hilo. Maana zaidi ya miaka saba usafiri toka Mwanza kwenda mkoani Kagera ulikuwa ni kwa njia ya barabara. Japokuwa barabara ni mkeka wa maana tokea Mwanza mpaka Bukoba mkoani Kagera lakini ulikuwa ni gharama Kubwa.
Wafanyabiashara wa ndizi wao walikuwa wanaumia zaidi sababu tani moja kwenye lori ni zaidi ya laki moja. Ila kwenye meli ni kama elfu ishirini na tano. Na kwao huu usafiri ni faraja kubwa. Pia, hata kwa abiria nauli ya meli ni karibu ya robo ya ile ya mabasi.
Kwa mantiki hii CCM inasubiri shukurani ya kura toka kwa wakazi wa Kagera na eneo zima la kanda ya ziwa victoria. Na projections zinaonyesha 98% ya kura za wananchi wa eneo hili sasa ni zawadi kwa CCM kwa kutekeleza ahadi aliyoitoa JPM ya kukarabati meli hii pamoja na Mv Butiama hapa kazi tu.
CHADEMA na wapinzani uchwara kama Act wazalendo ambao ni vibaraka wa mabeberu wasitarajie kupata hata kiti cha udiwani.
Hatimae ile meli maarufu katika ziwa victoria New MV Victoria hapa kazi tu inanza safari zake hapo siku ya jumapili. Na kwa wakazi wa eneo la Kanda ya Ziwa huu ni ukombozi mkubwa kwa uchumi wa eneo hilo. Maana zaidi ya miaka saba usafiri toka Mwanza kwenda mkoani Kagera ulikuwa ni kwa njia ya barabara. Japokuwa barabara ni mkeka wa maana tokea Mwanza mpaka Bukoba mkoani Kagera lakini ulikuwa ni gharama Kubwa.
Wafanyabiashara wa ndizi wao walikuwa wanaumia zaidi sababu tani moja kwenye lori ni zaidi ya laki moja. Ila kwenye meli ni kama elfu ishirini na tano. Na kwao huu usafiri ni faraja kubwa. Pia, hata kwa abiria nauli ya meli ni karibu ya robo ya ile ya mabasi.
Kwa mantiki hii CCM inasubiri shukurani ya kura toka kwa wakazi wa Kagera na eneo zima la kanda ya ziwa victoria. Na projections zinaonyesha 98% ya kura za wananchi wa eneo hili sasa ni zawadi kwa CCM kwa kutekeleza ahadi aliyoitoa JPM ya kukarabati meli hii pamoja na Mv Butiama hapa kazi tu.
CHADEMA na wapinzani uchwara kama Act wazalendo ambao ni vibaraka wa mabeberu wasitarajie kupata hata kiti cha udiwani.
Tume huru iko je? Watu wanatume huru hutoka mbinguni?Wekeni Tume huru ya Uchaguzi ili kuthibitisha unachosema.
Hatimae ile meli maarufu katika ziwa victoria New MV Victoria hapa kazi tu inanza safari zake hapo siku ya jumapili. Na kwa wakazi wa eneo la Kanda ya Ziwa huu ni ukombozi mkubwa kwa uchumi wa eneo hilo. Maana zaidi ya miaka saba usafiri toka Mwanza kwenda mkoani Kagera ulikuwa ni kwa njia ya barabara. Japokuwa barabara ni mkeka wa maana tokea Mwanza mpaka Bukoba mkoani Kagera lakini ulikuwa ni gharama Kubwa.
Wafanyabiashara wa ndizi wao walikuwa wanaumia zaidi sababu tani moja kwenye lori ni zaidi ya laki moja. Ila kwenye meli ni kama elfu ishirini na tano. Na kwao huu usafiri ni faraja kubwa. Pia, hata kwa abiria nauli ya meli ni karibu ya robo ya ile ya mabasi.
Kwa mantiki hii CCM inasubiri shukurani ya kura toka kwa wakazi wa Kagera na eneo zima la kanda ya ziwa victoria. Na projections zinaonyesha 98% ya kura za wananchi wa eneo hili sasa ni zawadi kwa CCM kwa kutekeleza ahadi aliyoitoa JPM ya kukarabati meli hii pamoja na Mv Butiama hapa kazi tu.
CHADEMA na wapinzani uchwara kama Act wazalendo ambao ni vibaraka wa mabeberu wasitarajie kupata hata kiti cha udiwani.
Kodi ya wananchi ndio imetengeneza hiyo Meli na sio ela ya CCM. Pesa ya CCM inakazi moja tu ya kurubuni wapinzani waunge juhudi...Usijaribu kuwakumbusha watu wa Kagera kauli tata na za kuvunja moyo za Jiwe nyakati tofauti wakati wa matatizo ya tetemeko la ardhi na mafuriko ya hivi karibuni ...anaweza akakosa hata kura chache alizopota 2015.Hatimae ile meli maarufu katika ziwa victoria New MV Victoria hapa kazi tu inanza safari zake hapo siku ya jumapili. Na kwa wakazi wa eneo la Kanda ya Ziwa huu ni ukombozi mkubwa kwa uchumi wa eneo hilo. Maana zaidi ya miaka saba usafiri toka Mwanza kwenda mkoani Kagera ulikuwa ni kwa njia ya barabara. Japokuwa barabara ni mkeka wa maana tokea Mwanza mpaka Bukoba mkoani Kagera lakini ulikuwa ni gharama Kubwa.
Wafanyabiashara wa ndizi wao walikuwa wanaumia zaidi sababu tani moja kwenye lori ni zaidi ya laki moja. Ila kwenye meli ni kama elfu ishirini na tano. Na kwao huu usafiri ni faraja kubwa. Pia, hata kwa abiria nauli ya meli ni karibu ya robo ya ile ya mabasi.
Kwa mantiki hii CCM inasubiri shukurani ya kura toka kwa wakazi wa Kagera na eneo zima la kanda ya ziwa victoria. Na projections zinaonyesha 98% ya kura za wananchi wa eneo hili sasa ni zawadi kwa CCM kwa kutekeleza ahadi aliyoitoa JPM ya kukarabati meli hii pamoja na Mv Butiama hapa kazi tu.
CHADEMA na wapinzani uchwara kama Act wazalendo ambao ni vibaraka wa mabeberu wasitarajie kupata hata kiti cha udiwani.
Muda si mrefu nilikuwa naongea na ndugu yuko Botswana. Huko bado nchi iko kwenye "lockdown" na vyombo vya habari vinaamilikiwa na Serikali (inafuata na kutekeleza maagizo ya Mabeberu). Kwa sababu hiyo Bibi Husna asingepata kutamba kama anavyofanya Chato, tena nyumbani kwake Rais. Lakini bado upinzani na wanahabari wanadai hakuna uhuru nchini?Nasikia Bibi Husna wa Chato anawasumbua CCM vibaya. Nadhani tumwache apambane na ccm kanda ya ziwa anawatosha sana.
Woo chadomo!, what's it 🤣🤣🤣🤣Sijui chadomo watasema waliwafanyia Nini wapiga kura
CCM kwa visa wanavyowafanyia upinzani, "POLISI, TRA, TISS, JESHI, WAKUU WA MIKOA, WAKUU WA WILAYA, WAKUU WA VITONGOJI, MAHAKAMA, NEC, TBC, CHANNEL 10" ndio kikosi chao 1st Eleven, halafu bado hawajiamini na wana vifua vya kujigamba.
Waweke "FAIR PLAY" waone balaa lake watakalokutana nalo.
Kuna watu wanafanya kazi usiku, tatizo lako umeandika kishabiki sana hizo ni kodi zetu wananchi CCM tuliwapa nchi kusimamia ilani yao kwahiyo msijisifie sanaKwa meli ni 12,000/=.Halafu unaanza safari usiku unafika asubuhi.Hivyo muda wa kazi mchana haupotei.
Hadi kukujibu naona aibu.Nahisi umemnukuu mtu asiyemlengwa.Kuna watu wanafanya kazi usiku, tatizo lako umeandika kishabiki sana hizo ni kodi zetu wananchi CCM tuliwapa nchi kusimamia ilani yao kwahiyo msijisifie sana
Zaidi ya nusu ya miradi yote nchini ipo kanda ya ziwa changanya udikteta na kutokuwepo tume huru na ubabe wa kuua wapinzani ccm bado hawana uhakika wa kushinda.Muda si mrefu nilikuwa naongea na ndugu yuko Botswana. Huko bado nchi iko kwenye "lockdown" na vyombo vya habari vinaamilikiwa na Serikali (inafuata na kutekeleza maagizo ya Mabeberu). Kwa sababu hiyo Bibi Husna asingepata kutamba kama anavyofanya Chato, tena nyumbani kwake Rais. Lakini bado upinzani na wanahabari wanadai hakuna uhuru nchini?
Kuanza kazi kwa ya hizo meli, Ziwa Victoria, hakika ni mwanzo wa safari ya matumaini kwa wakazi wa ukanda huo, japo wapinzani hudai ni "maendeleo ya vitu". Maendeleo hayo ya vitu, bila shaka, ndiyo yatakayowatoa wapinzani nje ya ulingo wa siasa