Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
- Thread starter
-
- #61
Kununuliwa kwa hiyo meli ni wajibu wa serikali iliyoko madarakani wala si hongo kwa wananchi ili ccm wapate kura!!Hivyo wananchi wako huru kuwapiga chini!!.
Out of point. Subiri kesho uone.Kodi ya wananchi ndio imetengeneza hiyo Meli na sio ela ya CCM. Pesa ya CCM inakazi moja tu ya kurubuni wapinzani waunge juhudi...Usijaribu kuwakumbusha watu wa Kagera kauli tata na za kuvunja moyo za Jiwe nyakati tofauti wakati wa matatizo ya tetemeko la ardhi na mafuriko ya hivi karibuni ...anaweza akakosa hata kura chache alizopota 2015.
Badala ya kuendekeza kunung'unika na lawama, uje na suluhisho la mapungufu hayo. Watoto ndio tunaamini ni wenye tabia ya aina hiyo.Zaidi ya nusu ya miradi yote nchini ipo kanda ya ziwa changanya udikteta na kutokuwepo tume huru na ubabe wa kuua wapinzani ccm bado hawana uhakika wa kushinda.
Bora umejitambua kaka, ni wachache saana wanaokubali ujinga wao. wengi wao huwa ni wapumbavu hasa wanaLumumbaOut of point. Subiri kesho uone.
Kwani kwenye kulipa kodi kuna ubaguzi kua hizi ni pesa za mwanaccm na hizi ni pesa za mwanachadema?Sijui chadomo watasema waliwafanyia Nini wapiga kura
Safi sana comrade katika ili.Pia tuwakumbushe wananchi kua pesa zao za rambi rambi wakati wa janga la tetemeko huko Kagera na kodi zao zimetumika kutengeneza hizi Meli.Hatimae ile meli maarufu katika ziwa victoria New MV Victoria hapa kazi tu inanza safari zake hapo siku ya jumapili. Na kwa wakazi wa eneo la Kanda ya Ziwa huu ni ukombozi mkubwa kwa uchumi wa eneo hilo. Maana zaidi ya miaka saba usafiri toka Mwanza kwenda mkoani Kagera ulikuwa ni kwa njia ya barabara. Japokuwa barabara ni mkeka wa maana tokea Mwanza mpaka Bukoba mkoani Kagera lakini ulikuwa ni gharama Kubwa.
Wafanyabiashara wa ndizi wao walikuwa wanaumia zaidi sababu tani moja kwenye lori ni zaidi ya laki moja. Ila kwenye meli ni kama elfu ishirini na tano. Na kwao huu usafiri ni faraja kubwa. Pia, hata kwa abiria nauli ya meli ni karibu ya robo ya ile ya mabasi.
Kwa mantiki hii CCM inasubiri shukurani ya kura toka kwa wakazi wa Kagera na eneo zima la kanda ya ziwa victoria. Na projections zinaonyesha 98% ya kura za wananchi wa eneo hili sasa ni zawadi kwa CCM kwa kutekeleza ahadi aliyoitoa JPM ya kukarabati meli hii pamoja na Mv Butiama hapa kazi tu.
CHADEMA na wapinzani uchwara kama Act wazalendo ambao ni vibaraka wa mabeberu wasitarajie kupata hata kiti cha udiwani.
Nadhani umekurupuka karibu sana mankaKwani kwenye kulipa kodi kuna ubaguzi kua hizi ni pesa za mwanaccm na hizi ni pesa za mwanachadema?
Ngosha unayumba na ujui ila unajukakamuaNadhani umekurupuka karibu sana manka
Kwani mi DJ mpaka niyumbeNgosha unayumba na ujui ila unajukakamua
Kichwa cha habari kinasema wamejihakikishia ushindi.Wanaandaa mazingira
Kuingiza habari ya Adolph kwenye hili suala ni upuuzi. Kama michango ilizidi na ikatumika kwa maendeleo tatizo lipo wapi? Au ulitaka wapewe wakanywe lubisi?Safi sana comrade katika ili.Pia tuwakumbushe wananchi kua pesa zao za rambi rambi wakati wa janga la tetemeko huko Kagera na kodi zao zimetumika kutengeneza hizi Meli.
Je,unajua?
Hakuna kiongozi mzalendo kama Hitler katika ujenzi wa miundombinu na uchumi miaka ya 1932.
Acha utoto hii kitu ni ahadi ya muda mrefu.Na li baba lao limejua pa kutega...karibia na kampeni tu[emoji3][emoji3]mambo ndio hayoooo[emoji3]tena msipojitathmini na katiba mtaigeuza aongoze hadi 2040[emoji3][emoji3]
Walikuwa wanakunywa konyagi na kuvuta bangi.Sijui chadomo watasema waliwafanyia Nini wapiga kura
Na bado[emoji3]wiki ijayo anaenda zinduwa madaraja ya treni ya sgr[emoji3][emoji3]manyumbu tupo wengi kumbe[emoji3]Acha utoto hii kitu ni ahadi ya muda mrefu.
"Askofu Bagonza ahamasisha watu kufanya maandamano kudai tume huru tarehe 8". Twaweza wo wanajua kabisa maana hata kibali cha kufanya utafiti walikuwa hawana alafu wanapotosha umma. Hii serikali huwa haionei watu.Hebu weka hapa huo uchochezi wa Twaweza isije ikawa unaongea kama kasuku. Nimekuambia weka hapa hayo maonyo 10 yaliyosababisha Tanzania daima ifungiwe, naona unaruka ruka tu kwani we ni bendera fuata upepo, na huna lolote ujualo zaidi ya kupiga siasa mfu hapa jukwaani.
We pimbi kwel kwan askofu aliongea gazeti likaandika kosa liko wapi la gazet? Au askofu hakuongea kauli kama hiyo? Dah kwel maccm mnataka iwe inaandikwa habar za kuitukuza ccm na mkulu wao atukuzwe hiyo ndo yenu"Askofu Bagonza ahamasisha watu kufanya maandamano kudai tume huru tarehe 8". Twaweza wo wanajua kabisa maana hata kibali cha kufanya utafiti walikuwa hawana alafu wanapotosha umma. Hii serikali huwa haionei watu.
Una uhakika kama aliongea wewe mbwa koko?We pimbi kwel kwan askofu aliongea gazeti likaandika kosa liko wapi la gazet? Au askofu hakuongea kauli kama hiyo? Dah kwel maccm mnataka iwe inaandikwa habar za kuitukuza ccm na mkulu wao atukuzwe hiyo ndo yenu
We mbwa koko una uhakika kama aliongea? Weka clip hapa akiongea.We pimbi kwel kwan askofu aliongea gazeti likaandika kosa liko wapi la gazet? Au askofu hakuongea kauli kama hiyo? Dah kwel maccm mnataka iwe inaandikwa habar za kuitukuza ccm na mkulu wao atukuzwe hiyo ndo yenu
"Askofu Bagonza ahamasisha watu kufanya maandamano kudai tume huru tarehe 8". Twaweza wo wanajua kabisa maana hata kibali cha kufanya utafiti walikuwa hawana alafu wanapotosha umma. Hii serikali huwa haionei watu.
Wewe acha kukurupuka ishu sio kudai tume huru bali kuchapisha habari za uongo ili kuleta chuki kwa serikali.Kudai tume huru ni kosa? Kukosa Kibali inamaanisha usemacho ni uongo? Hiyo sheria ya takwimu si ndio zile sheria zenye nia ovu kama za wakoloni?