Uchaguzi 2020 CCM yazidi kujihakikishia ushindi Uchaguzi Mkuu Kanda ya Ziwa

JPM ni masiya aliyetumwa aje kuikomboa nchi hii nakuipeleka nchi ya ahadi,waTanzania hamna utofauti na wana wa Israel maana hata wana wa Israel walipokaribia nchi ya ahadi waliomba kurudishwa kwa Farao.

Ss waTanzania tumekaribia nchi ya ahadi tusirudi tena kule kwa farao,vumilieni kula mtori nyama zipo chini jamani ,Magufuli mitano tena.
 
Kichwa maji Sana wewe, sijui una degree ngapi za ujinga!. Maana unamtukana matusi. Naomba tuishie hapa maana hauna lol
You can't be serious brother😃😃😃😃.
Hujielewi kafie mbele huko ww ni sifia sifia... Wewe ni ccm sio mtamzania
 
Iwe si ungetuwekea na ka picha kidogo??
Halfu hii mali ni mpya au imefanyiwa ukarabati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…