Pre GE2025 CCM Zanzibar washerekea Miaka 4 ya Rais Mwinyi na kuzindua kampeni ya Kijana na Kijani Pemba

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,


CCM Zanzibar jana Nov 2, 2024 walisherekea miaka 4 ya uongozi wa Rais Mwinyi pamoja na kuzindua kampeni ya Kijana na Kijani Pemba katika Uwanja wa Gombani, kampeni ambayo inalenga kuhamasisha vijana kupitia CCM kushiriki katika uchaguzi na nafasi mbalimbali za uongozi.


Kampeni hii ilizinduliwa kwa mara ya kwanza katika Uwanja wa New Amani Complex Unguja Agosti 10, 2024.

Pia soma: Kuelekea 2025 - LGE2024 - Rais Mwinyi apokea kadi za wanachama wa ACT Wazalendo wakiachana na chama hicho



 
kwa bao la mkono hamushindiki. Kwa zanzibar hamujashinda wala hamutoshinda. Na safari wa hii , tembo mumelijaza maji. Halinwiki.
 
Ccm wanahangaika na slogans zisizo na maana kabisa katika ulimwengu huu wao tech
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…