CCM Zanzibar, Yalazimisha Wafanyaka wa Serikali kupiga Kura Katiba Mpya

CCM Zanzibar, Yalazimisha Wafanyaka wa Serikali kupiga Kura Katiba Mpya

5523

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2014
Posts
2,275
Reaction score
2,410
Mtu wangu wa karibu zaidi ambaye ni muajiriwa wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Wizara ya Mawasiliano na Uchukuzi ameniambia "Jumatatu iliyopita tumetakiwa kupeleka majina yetu pamoja na vituo vyetu vya kupigia kura, mimi nishapeleka, boss wetu ametuita kikao na kutuambia ni kwamba agizo kutoka juu ni kwamba wafanyakazi wa serikali wote wanatakiwa washiriki kuipigia kura katiba inayopendekezwa na nilazima tuipigie ya Ndio''

Akaendelea kuniambia "mfanyakazi wa serikali ambaye atabainika hakwenda kupiga kura kibarua chake kitakuwa mashakani, mfanyakazi ataweza kupangiwa sehemu nyengine mbali kufanya kazi au kuachishwa kazi kabisa kabisa"

My Take:
Ivi ni sheria kwenye katiba mfanyakazi wa Serikali kulazimishwa kupiga kura? na hata kufukuzwa kazi au kupangiwa sehemu nyengine ya kazi kama hakushiriki kwenye mchakato wa kupiga kura?
 
dah kweli ngoma imebana, yaan ccm inataka kuokotea wafanyakazi wa serikali upigaji kura! Zanzibar nzima wafanyakazi wa serikali ni kama 21 elfu sasa kweli katiba itapigiwa kura na watu hawo kwenye mili 3 na kitu.
 
Mtu wangu wa karibu zaidi ambaye ni muajiriwa wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Wizara ya Mawasiliano na Uchukuzi ameniambia "Jumatatu iliyopita tumetakiwa kupeleka majina yetu pamoja na vituo vyetu vya kupigia kura, mimi nishapeleka, boss wetu ametuita kikao na kutuambia ni kwamba agizo kutoka juu ni kwamba wafanyakazi wa serikali wote wanatakiwa washiriki kuipigia kura katiba inayopendekezwa na nilazima tuipigie ya Ndio''

Akaendelea kuniambia "mfanyakazi wa serikali ambaye atabainika hakwenda kupiga kura kibarua chake kitakuwa mashakani, mfanyakazi ataweza kupangiwa sehemu nyengine mbali kufanya kazi au kuachishwa kazi kabisa kabisa"

My Take:
Ivi ni sheria kwenye katiba mfanyakazi wa Serikali kulazimishwa kupiga kura? na hata kufukuzwa kazi au kupangiwa sehemu nyengine ya kazi kama hakushiriki kwenye mchakato wa kupiga kura?
Hii ni wizara ya wapi? Ebu hakiki jina vizuri la wizara unayokusudia ili ulete taarifa sahihi.
 
kinyesi.

Mtu wangu wa karibu zaidi ambaye ni muajiriwa wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Wizara ya Mawasiliano na Uchukuzi ameniambia "Jumatatu iliyopita tumetakiwa kupeleka majina yetu pamoja na vituo vyetu vya kupigia kura, mimi nishapeleka, boss wetu ametuita kikao na kutuambia ni kwamba agizo kutoka juu ni kwamba wafanyakazi wa serikali wote wanatakiwa washiriki kuipigia kura katiba inayopendekezwa na nilazima tuipigie ya Ndio''

Akaendelea kuniambia "mfanyakazi wa serikali ambaye atabainika hakwenda kupiga kura kibarua chake kitakuwa mashakani, mfanyakazi ataweza kupangiwa sehemu nyengine mbali kufanya kazi au kuachishwa kazi kabisa kabisa"

My Take:
Ivi ni sheria kwenye katiba mfanyakazi wa Serikali kulazimishwa kupiga kura? na hata kufukuzwa kazi au kupangiwa sehemu nyengine ya kazi kama hakushiriki kwenye mchakato wa kupiga kura?
 
Watu8 ni wafanyakazi wa jeshi nini? Maana hao hawana mamlaka ya kuhoji, na hata wakifukuzwa kazi hawaajiriki, wao ni typical government property!!
 
Last edited by a moderator:
Kwa hilo si ajabu hata kidogo kwa Zenji.

Zamani wafanyakazi wakilazimishwa kwenda kwenye sherehe kama za Mapinduzi na ilikuwa kwa kuandikwa kwenye daftari kabisa.
 
mtu wangu wa karibu zaidi ambaye ni muajiriwa wa serikali ya mapinduzi zanzibar wizara ya mawasiliano na uchukuzi ameniambia "jumatatu iliyopita tumetakiwa kupeleka majina yetu pamoja na vituo vyetu vya kupigia kura, mimi nishapeleka, boss wetu ametuita kikao na kutuambia ni kwamba agizo kutoka juu ni kwamba wafanyakazi wa serikali wote wanatakiwa washiriki kuipigia kura katiba inayopendekezwa na nilazima tuipigie ya ndio''

akaendelea kuniambia "mfanyakazi wa serikali ambaye atabainika hakwenda kupiga kura kibarua chake kitakuwa mashakani, mfanyakazi ataweza kupangiwa sehemu nyengine mbali kufanya kazi au kuachishwa kazi kabisa kabisa"

my take:
Ivi ni sheria kwenye katiba mfanyakazi wa serikali kulazimishwa kupiga kura? Na hata kufukuzwa kazi au kupangiwa sehemu nyengine ya kazi kama hakushiriki kwenye mchakato wa kupiga kura?

acha uzushi huo, hakuna anayeshurutishwa kufanya hivyo, sidhani kama hayo unayoongea ni ya kweli.
 
Waende tu kupiga kura ila aina ya kura unayopiga si ni SIRI yako mpiga kura au?
 
Mtu wangu wa karibu zaidi ambaye ni muajiriwa wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Wizara ya Mawasiliano na Uchukuzi ameniambia "Jumatatu iliyopita tumetakiwa kupeleka majina yetu pamoja na vituo vyetu vya kupigia kura, mimi nishapeleka, boss wetu ametuita kikao na kutuambia ni kwamba agizo kutoka juu ni kwamba wafanyakazi wa serikali wote wanatakiwa washiriki kuipigia kura katiba inayopendekezwa na nilazima tuipigie ya Ndio''

Akaendelea kuniambia "mfanyakazi wa serikali ambaye atabainika hakwenda kupiga kura kibarua chake kitakuwa mashakani, mfanyakazi ataweza kupangiwa sehemu nyengine mbali kufanya kazi au kuachishwa kazi kabisa kabisa"

My Take:
Ivi ni sheria kwenye katiba mfanyakazi wa Serikali kulazimishwa kupiga kura? na hata kufukuzwa kazi au kupangiwa sehemu nyengine ya kazi kama hakushiriki kwenye mchakato wa kupiga kura?


Looooooo, jamani uongo wa asubuhi eti wafanyakazi wazanzibar wamelazimishwa kupiga kura, kwa taarifa yako huyo aliyekupa taarifa kakudanganya, afu mi nachojua kura ni siri ati iweje mtu akuambie piga hivi au mnaenda na huyo boss wako akahakiki, AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO!!!!
 
Looooooo, jamani uongo wa asubuhi eti wafanyakazi wazanzibar wamelazimishwa kupiga kura, kwa taarifa yako huyo aliyekupa taarifa kakudanganya, afu mi nachojua kura ni siri ati iweje mtu akuambie piga hivi au mnaenda na huyo boss wako akahakiki, AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO!!!!

Unabisha nini?? hata kama kwenye chumba cha kura unaenda peke yako lakini Serikali ndio imetoa hilo tamko kwa wafanyakazi wa serikali. wafanyakazi wengi wamethibitisha hilo mimi binafsi nimfanyakazi wa serikali.

Nyinyi ndio wale muliotiwa pamba za masikio akina Asha bakari na sidhan kama unapata hata posho la shilingi elfu 7 kwa mwezi kwa kuishabikia ccm ni ujinga ulio katika nafsi yako tu naturally.
 
Unabisha nini?? hata kama kwenye chumba cha kura unaenda peke yako lakini Serikali ndio imetoa hilo tamko kwa wafanyakazi wa serikali. wafanyakazi wengi wamethibitisha hilo mimi binafsi nimfanyakazi wa serikali.

Serikali wanaweza kujua umepigaje kura yako. Maana kishina wanachobaki nacho wasimamizi wa uchaguzi kina serial number iliyo sawa na iliyopo kwenye karatasi unayopewa kupiga kura.
 
Serikali wanaweza kujua umepigaje kura yako. Maana kishina wanachobaki nacho wasimamizi wa uchaguzi kina serial number iliyo sawa na iliyopo kwenye karatasi unayopewa kupiga kura.

hilo swali kila mmoja anajiuliza wewe na hata mimi lakini ndio kauli ya serikali mimi sina majibu
 
Wadau hii katiba mbovu ya ccm mimi siikubali hata kidogo kwanza mwandishi mwenyewe jambazi chenge mwizi je unategemea angeweka kifungu cha kuwabana wezi wakati na yeye mwenyewe ni mwizi
 
unabisha nini?? Hata kama kwenye chumba cha kura unaenda peke yako lakini serikali ndio imetoa hilo tamko kwa wafanyakazi wa serikali. Wafanyakazi wengi wamethibitisha hilo mimi binafsi nimfanyakazi wa serikali.

Nyinyi ndio wale muliotiwa pamba za masikio akina asha bakari na sidhan kama unapata hata posho la shilingi elfu 7 kwa mwezi kwa kuishabikia ccm ni ujinga ulio katika nafsi yako tu naturally.


lazima nikukatalie kama unaongea uongo siwezi nyamaza,serikali imetoa tamko wapi, kama hilo tamko unalo lipost humu tulione na kama huna kaa kimya milele uache uongo na ushabiki usio na maana afu unajivika uhalali eti mimi binafsi ni mfanyakazi wa serikali ha ha ha ha ha ya wapi labda ya shetani.
 
Back
Top Bottom