CCTV zina faida gani ? Tukio linapotokea kuonesha vibaya

Msaada wa CCTV mimi naona ni bure yani linapotokea tatizo uwezi kuona picha vizuri.

View attachment 2942632
Kama shida yako ni kuona vizuri,wa kulaumiwa ni mnunuaji. Camera zinatofautiana yaani hapo ukipata IP camera kuanzia 8 mega pixel unaona vizuri kabisa. Hapo mtu hajui kuhusu CCTV au budget yake ndogo hayo ndo matokeo yake.
NB: CCTV camera ni sawa na camera za simu kuwa zinatofautiana ubora kutokana na company na mega pixel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…