CDF mstaafu Mabeyo kukutana na Papa Francis

Na huu ni ukomo wa fikra zako. Si jukumu langu kushinikiza jinsi gani ubongo wako unaweza kuchambua mambo.
maana waislam wametajwa ukatokwa povu jingi, inaelekea umelewa udini kiasi cha kutojitambua unaishi katika jamii gani. Unaonekana ni msomi mkubwa ila uko criticised na dini yako
 

Ajabu ni kuwa wanaoenda Mlingotini. Ndo hao hao wanaoenda hata huko Vatican
 
Jesuits wameenda kuripoti kwa Boss. Sasa nimeanza kuwaelewa Wasabato na mahubiri yao kuhusu hili Kanisa la Mitume.
wasabato wako vizuri sana juu ukatoliki ila wakasome kwa upentekoste, wanachokosea ni siku ya sabato hawaijui wanang'ang'ana na jumamosi
 
Ajabu ni kuwa wanaoenda Mlingotini. Ndo hao hao wanaoenda hata huko Vatican
Wana haki ya kikatiba hata kuunda imani yao mpya inayochanganya mambo ya Mlingotini na ya Vatican.

Kwanza mimi hata sioni tofauti kati ya Mlingotini na Vatican.

Vyote naona sawa tu.

Tofauti ya msingi kabisa ya Mlingotini na Vatican ni nini?

Kote ni habari zile zile za supernatural beliefs tu.
 
Leo umeandika vyema sana[emoji471][emoji2422].
 
kanisa ni moja takatifu,katoliki, la mitume🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…