CDM hawataruhusu aina ya Magufuli waingie madarakani, bora waunge mkono timu SSH. Sawa kwa CCM asili pia, ni mchezo mgumu kucheza!

CDM hawataruhusu aina ya Magufuli waingie madarakani, bora waunge mkono timu SSH. Sawa kwa CCM asili pia, ni mchezo mgumu kucheza!

#polepole, how are you? Let's play the cards
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Alliance of convinience to defeat the devil.
 
Card yetu ya upande wa pili tunai-hold, na juzi tulikuwa nayo, no way filimani ataunga mkono team Bashiru na Polepole
 
Hizi ndio Akili za Vilaza wa chadema. Wao ushangilia ujinga ujingatu.
 
Unaleta mrejesho wa kikao cha jana?
 
Mwenyekiti Mbowe amekifanya CHADEMA kuwa maili yake sasa, anaamua lolote muda wowote atakavyo ndani ya chama, sisi wasaidizi wake tumeamua kumpuuza tu sasa. Tuna mwenyekiti wa ovyo sana.
 
Mwenyekiti Mbowe amekifanya CHADEMA kuwa maili yake sasa, anaamua lolote muda wowote atakavyo ndani ya chama, sisi wasaidizi wake tumeamua kumpuuza tu sasa. Tuna mwenyekiti wa ovyo sana.
Jana kinana na Mbowe walikuwa na suti za bluu wote, nothing happens by accident in politics
 
Hakuna team magufuli. Kuna chama tawala na upinzani.
 
Makosa ya 2015 hayayokuja kutokea tena. Kuleta mgombea mwenye faili Mirembe ilikuwa ni risk ya hali ya juu na madhara tumeyaona.
Yaani Chadema Bora muwaue kuliko team Magu warudi madarakani, na Bora CCM asili muwaue kuliko wakubali team MAGU warudi madarakani.

Hard cards to play
 
Mwenyekiti Mbowe amekifanya CHADEMA kuwa maili yake sasa, anaamua lolote muda wowote atakavyo ndani ya chama, sisi wasaidizi wake tumeamua kumpuuza tu sasa. Tuna mwenyekiti wa ovyo sana.
Wapumbavu mna enjoy kuona kuna mivutano ya kisiasa. Mbowe alikuwa jela anateseka peke yake, mambo yamekwisha anafanya siasa za kistaarabu hamtaki. Anzisha na nyinyi vyama vyenu mje mdai Katiba kwa namna mnavyotaka.

Katiba haijawahi kuwa suluhisho la kila kitu popote duniani. Hata USA mbona tunaona blacks wanavyopuuzwa licha ya Katiba nzuri kuwapo.
 
Anayeamua nani awe raisi wa Tanzania siyo CCM wala chadema, wote hawa ni vidampa tu wanatumiwa kama daraja kati ya Mtumwa na Mtwana na CCM na Chadema ni kama tu Tippu Tip wa leo hawaamua chochote kile ila wanatumika kuwacontrol watumwa lkn wote wanamilikiwa na Mtwana, wote wanatumika tu na the power that be, wote wanamtumikia bwana mmoja na Bwana wao akibadilika na atabadilika na raisi pia atabadilika ni swala la muda tu Mobutu alifurumushwa siyo na Wakongo bali waliomuweka muda ulipofika walimtoa au unafikiri nguvu yote ya kulinda na kutetea inatokea Tanzania?

Wote bosi wao ni Banksters wanaolazimisha mikopo na riba kubwa, ambayo mtumwa ofcourse atailipa kwa jasho na damu, …
 
Mwenyekiti Mbowe amekifanya CHADEMA kuwa maili yake sasa, anaamua lolote muda wowote atakavyo ndani ya chama, sisi wasaidizi wake tumeamua kumpuuza tu sasa. Tuna mwenyekiti wa ovyo sana.
Nyie ndio wa ovyo, bora hata Nccr Mageuzi wamefanya kitu kikaeleweka. Kama ni wa ovyo yeye mmerekebisha vipi
 
Yaani Chadema Bora muwaue kuliko team Magu warudi madarakani, na Bora CCM asili muwaue kuliko wakubali team MAGU warudi madarakani.

Hard cards to play
IKULU AKIINGIA MKRISTO RU KWISHA HABARI YENU na nakukumbusha mfumo wetu wa bandika bandua wa rais mkristo kumpisha ajae muislamu na huyo muislamu kumpisha tena mkristo.
 
Back
Top Bottom