Alivuma sana na aliipandisha sana chati CDM. Nikiwa mtanzania nina haki ya kupata habari za uhakika kabisa. Na kwa kuwa Chacha Wangwe alikuwa mbunge wa watanzania wa Tarime kupitia CDM ninadhani Chama chake kinaweza kutupa jibu makini la nini hasa chanzo cha kifo cha Chacha Wangwe? Je, ni mkakati wa CDM ktk kumzuia asigombee u-chair wa CDM?
Ufafanuzi plz
1.
Today 09:54 AM
Topic: CDM, nani alimuua Chacha Wangwe?
by KAUMZA
Replies
4
Views
2
CDM, nani alimuua Chacha Wangwe?
Alivuma sana na aliipandisha sana chati CDM. Nikiwa mtanzania nina haki ya kupata habari za uhakika kabisa. Na kwa kuwa Chacha Wangwe alikuwa mbunge wa watanzania wa Tarime kupitia CDM ninadhani...
2.
Today 09:44 AM
Topic: Dr.kitine yanaweza kumpata yaliompata kolimba?
by KAUMZA
Replies
33
Views
882
Re: Dr.kitine yanaweza kumpata yaliompata kolimba?
Hata Marehemu CHACHA WANGWE wa TARIME alipotezwa kwa kuwa alitaka kugombea uenyekiti wa CDM Taifa
3.
Today 09:11 AM
Topic: MZEE WA UPAKO AJIKOMBA KWA jk
by KAUMZA
Replies
27
Views
411
Re: MZEE WA UPAKO AJIKOMBA KWA jk
Vipi kama angemsifia Dr Slaa? Mngemsakama na kumnanga? SHAME ON YOU
4.
Today 09:00 AM
Topic: Babu Mwasapile aungana na Rostam
by KAUMZA
Replies
6
Views
114
Babu Mwasapile aungana na Rostam
Hatimaye mch. mstaafu mzee Mwasapile ameungana na mbunge wa Igunga Bwana Rostam Aziz kwa kuwataka wagonjwa wanaopata tiba ya "kikombe" kuendeleana dawa za hospitali kama kawaida.
Hili limejitokeza...
5.
27th March 2011 08:08 AM
Topic: CCM kidedea umeya Sumbawanga
by KAUMZA
Replies
7
Views
206
CCM kidedea umeya Sumbawanga
Kwa mara nyingine tena CCM kimetwaa kiti cha umeya ktk manispaa ya Sumbawanga baada ya meya wa awali kujiuzulu kutokana na "kashfa" ya kuwa na elimu ndogo.
6.
21st March 2011 07:45 PM
Topic: Jukwa la sheria lisilo na wanasheria
by KAUMZA
Replies
9
Views
127
Re: Jukwa la sheria lisilo na wanasheria
Ulichokisema ni kweli kabisa. Kimsingi kuna wanasheria wengi sana humu jukwaani. Wanasheria makini, Wanasheria vilaza na wanasheria pori"bush lawyers". Kwanini jukwaa hili limekosa msisimko ni kuwa...
7.
13th March 2011 08:09 PM
Topic: JK mgeni rasmi tamasha la injili Dar
by KAUMZA
Replies
21
Views
269
JK mgeni rasmi tamasha la injili Dar
Mratibu wa tamasha la nyimbo za injili bwana Alex Massama amesema kuwa Mpendwa wetu Rais Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tamasha la pasaka. Kwa taarifa zilizopo mhe JK amekubali mwaliko...
8.
11th March 2011 07:03 PM
Topic: Upe tafsiri msemo huu katika medani za siasa za Tanzania
by KAUMZA
Replies
3
Views
66
Re: Upe tafsiri msemo huu katika medani za siasa za Tanzania
Hata mkiandamana na kuchochea uasi, dola hamshiki ng'o!!
9.
11th March 2011 06:50 PM
Topic: Lowassa ni kiona mbali
by KAUMZA
Replies
33
Views
785
Lowassa ni kiona mbali
Ni kiongozi makini sana. Ana upeo mkubwa sana wa kufikiri na kutenda. Anathubutu na anawapenda watu wake. Majuzi akiwa katika kijiji cha Lolkisale Monduli Lowassa alisema yeye akiwa mbunge anakusudia...
10.
5th March 2011 09:54 PM
Topic: Kitabu: Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes (1924-1968)
by KAUMZA
Replies
763
Views
9,518
Sticky: Re: Kitabu: Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes (1924/1968)
Acha unafiki wewe. Lini uliwahi kupita jirani na msikiti ukashukiwa? Au unaugonjwa wa phobia? Our son to be saint(Nyerere) alikuwa kila mara akienda kwa sheikh Ramia Bagamoyo kuombewa dua....
11.
5th March 2011 07:36 PM
Topic: kauli za ccm ndio zinaweza kuvunja amani nchini tanzania
by KAUMZA
Replies
3
Views
98
Re: kauli za ccm ndio zinaweza kuvunja amani nchini tanzania
Kwa hiyo?
12.
5th March 2011 07:18 PM
Topic: Wanawake wakatoliki Songea wawapinga"CDM"
by KAUMZA
Replies
46
Views
879
Wanawake wakatoliki Songea wawapinga"CDM"
Akina mama waumini wa kanisa Katoliki wilayani Songea waamepinga vitendo vya wanasiasa walafi wa madaraka wanaotaka kuiingiza nchi ktk machafuko. Wameahidi kufunga ili pepo mchafu aweze kupita...
13.
5th March 2011 06:34 PM
Topic: Kamanda MBOWE Vs Dr SLAA
by KAUMZA
Replies
64
Views
1,380
Re: Kamanda DJ MBOWE Vs Dr SLAA
Umesomea wapi wewe! Unaweza kuniruhusu nihoja IQ yako? Jamani kwani ni lazima ulinganishe official functions zao. You can compare even their behaviour, pia hata style yao ya maisha. Mfano, mmoja ni...
14.
5th March 2011 05:43 PM
Topic: Kamanda MBOWE Vs Dr SLAA
by KAUMZA
Replies
64
Views
1,380
Kamanda MBOWE Vs Dr SLAA
Kuna mwanajf aliwahi kuuliza kati ya Lowassa na Pinda yupi bora? Na mwingine aliuliza kati ya Nyerere, Mwinyi, Mkapa na JK nani ni bora. Mimi leo naona tujadili kati ya DJ Mbowe na Dr Slaa nani...
15.
2nd March 2011 07:34 PM
Topic: Dr Slaa atuhumiwa kuzua kifo cha Dr Yohana Balele.
by KAUMZA
Replies
48
Views
1,793
Nikisema , nikabezwa: Imedhihiri, Dr SLAA SI MKWELI
Katika mila zetu ni mwiko kumuita mtu aliyekuzidi umri muongo. Kwa minajili hiyo, kwa leo sitamuita Dr Slaa kuwa ni muongo ila ninasema kuwa si mkweli. Jana ametangazia umma kuwa mkuu wa mkoa wa...
16.
2nd March 2011 05:01 PM
Topic: Rais Kikwete mgeni rasmi mei mosi 2011
by KAUMZA
Replies
9
Views
245
Rais Kikwete mgeni rasmi mei mosi 2011
Kiukweli nimefurahishwa na taarifa kuwa TUCTA itamualika Rais JK kuwa mgeni rasmi katika mei mosi, tofauti na mwaka jana. Najua taarifa hii imewauma sana wale wanaopenda JK adhihakiwe na aonekane...
17.
28th February 2011 08:52 PM
Topic: Hotuba ya Rais ya mwisho wa mwezi Februari, 2011
by KAUMZA
Replies
526
Views
15,191
Viva Kikwete, Long live baba
Umenena! Hakika umenena! Wameshindwa mechi uwanjani na sasa wanategemea kupata ushindi nje ya uwanja. Ni wachochezi na tutawakataa. Na mchezo wao ni maafa kwetu.
Umetutoa tongotongo, na sasa...
18.
28th February 2011 03:22 PM
Topic: Vijimambo katika mahusiano ya kimapenzi
by KAUMZA
Replies
29
Views
564
Re: Vijimambo katika mahusiano ya kimapenzi
Punguza hasira!!! Alikwambiaa nini?
19.
27th February 2011 10:11 PM
Topic: Vijimambo katika mahusiano ya kimapenzi
by KAUMZA
Replies
29
Views
564
Re: Vijimambo katika mahusiano ya kimapenzi
Miaka michache iliyopita nilikuwa mwanachama wa magazeti ya JITAMBUE na MSAURI WAKO. Kuna siku nilisoma kisa cha dada mmoja ambaye alieleza kuwa alitaka kujiua kwa kuwa mpenzi wake kamwambia kuwa ana...
20.
27th February 2011 09:43 PM
Topic: Vijimambo katika mahusiano ya kimapenzi
by KAUMZA
Replies
29
Views
564
Re: Vijimambo katika mahusiano ya kimapenzi
Ninakumbuka vema ilikuwa siku chache kabla ya harusi yangu kijijini kwetu, mimi nikiwa finalist UDSM na mchumba(mke wangu kwa sasa) alipokuja Hall 5 chumba namba 1279 na ktk maongezi yetu...
Results 1 to 20 of 92