demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Hizi ni tetesi ambazo zimeanzishwa.kwa lengo la kuwapoteza maboya Simba. Simba wana tatizo kubwa sana la mchezaji wa ukabaji na sio box to box. Tatizo hilo liliwapelekea kushinda game 1 kati ya game 7 ambazo wamecheza na Yanga.
Kufanya wasifikirie kuhusu eneo hilo, waandishi wa habari za michezo Uganda wamechukua loop hole ya uwepo wa makamu kwenye Nchi yao kuanzisha hizi tetesi.
Hata ukitumia jicho la kiuchambuzi huwezi amini kama Yanga wanaweza unguza 200,000usd kwa mchezaji back up.
Manzoki hawezi kuanza kikosi cha kwanza pale jangwani isipokuwa anaweza kuanza kule msimbazi.
Hii tetesi inalenga zaidi viongozi wa simba wafocus kwenye kuokoa windo lao zaidi kuliko kutibu ugonjwa wao.
View attachment 2327809
Kufanya wasifikirie kuhusu eneo hilo, waandishi wa habari za michezo Uganda wamechukua loop hole ya uwepo wa makamu kwenye Nchi yao kuanzisha hizi tetesi.
Hata ukitumia jicho la kiuchambuzi huwezi amini kama Yanga wanaweza unguza 200,000usd kwa mchezaji back up.
Manzoki hawezi kuanza kikosi cha kwanza pale jangwani isipokuwa anaweza kuanza kule msimbazi.
Hii tetesi inalenga zaidi viongozi wa simba wafocus kwenye kuokoa windo lao zaidi kuliko kutibu ugonjwa wao.
View attachment 2327809