Huyu Selembe ni Fundi kwa kifup Zanzibar wanamafundi wengi.
Hawavumi ila wapo leo wameonysha kuwa hata kiphysic wao safi mnoo bara ndo wanaenda chini wenyewe tu.
Wachezaji wamechoka mnoo warudi nyumbani tu tulijenge taifa
Viwanda vya vyerehani. Imagine matumizi ya viwanda vya vyerehani yalifanywa 1790. Miaka zaidi ya 220 iliyopita bado watu wanakuja na stori za viwanda vya vyerehani vinne?