Hii hatakua na heshima kabisa kwani wale jamaa wamekua kwenye kupigana muda mrefu, sasa sisi fani yetu ni nini? Au maneno? But hope will win this match
Kazi bado ipo mbele yetu katika mashindano ya CHAN. Kama hali ndio hii tunayoona katika hili kombe, inabidi Maximo akaze buti, na hawa wachezaji wetu nao wakomae. Hawajui wako sokoni, tatizo wakipata sifa hujisahau. Nisilaumu sana mpira haujaisha, huenda tutashinda...
Maximo waambie vijana wakomae second half waTanzania tumechoka kuwa wasindikizaji kila mashindano, kwa mtindo huu kweli tutambulia chochote CHAN 2009 kule Ivory Coast?
Kwa mtindo huu tutakua wasindikizaji, labda madogo wa TSA watkapo anza vitu vyo nasi tutaonekana, maana niliwaona juzi wanaoenyesha watakua hai sana, kwani ni watakua maprofesional
Ni kweli dakika ya 40 sasa tunaongoza 3-2 bao la pili la Kili stars limewekwa kimiani na Jerry Tegete, huyu ndio mshambuliaji wa kuaminika Kili na Taifa stars