CECAFA Challenge Cup

Hahaha kwa uchache sana huwa tunawafunga hawa wana mdebedwo urojo star....huwa wanatujulia kutubana tusigeuze...ila tusijidai sana maana wamepeleka team B sio ile full mkoko
 
Kilimanjaro stars 2, Zanzibar a.k.a wara uroooojo 1

Yap leo Zenji mdebwedo,magoli ya Kili Stars yamefungwa na Dany Mrwanda na Athumani Idd 'Chuji' wakati lile la Zenji limefungwa na Nadir Haroub 'Canavaro'
 
Leo ndio leo, tutakapotupa karata yetu kwa Rwanda saa 7.30 mchana kwa saa za Afrika Mashariki. Kila mmoja anatafuta ushindi ili aingie nusu fainali.
 
Kilimanjaro Boyz weshamtungua goli moja Rwanda hadi sasa, bao limefungwa na Athumani Idd Chuji. Mpira unaendelea
 
...Endelea kutujuza. goli limefungwa dakika ya ngapi? sasa bado dk ngapi mpira kwisha nk....!
 
Dakika ya ngapi ,hivi hizi game zinachezwa saa 7?
 
Saizi ni Half time 45dk za mwanzo zimekwisha.
 
Mpaka tunaenda mapumnzikoni bao ni 2-0 magoli yote kapiga Athman Idd 'Chuji'
 
Huyu Kaduguda alitaka kumuua CHUJI kijana anatisha
 
Mpaka tunaenda mapumnzikoni bao ni 2-0 magoli yote kapiga Athman Idd 'Chuji'


Mkuu ahsante kwa habari nzuri,

Kazi nzuri chuji, huyu kijana i think by this time alitakiwa awe na timu nje uwezo wake ni mkubwa sana sijui tatizo ni nini?
 
Wanatangaza huo mpira au vipi?
 
mpira unatangazwa na TBC Taifa ( RTD) kwenye Mhz 657 MW kama uko bongo, au kupitia sattelite
 
Mkuu ahsante kwa habari nzuri,

Kazi nzuri chuji, huyu kijana i think by this time alitakiwa awe na timu nje uwezo wake ni mkubwa sana sijui tatizo ni nini?

Athmani Idd ni mchezaji mzuri hata umbile lake linaruhusu kucheza mpira popote, tatizo lake kubwa ni kuvuta majani .....!!
 
Bado dakika tano mpira uishe, bado Tanzania 2 Rwanda 0
 
Nani alisema kuwa wachagga hawachezi mpira wakati golikipa wa Tanzania leo ni Deo Mushi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…