CECAFA KAGAME CUP 2011 Finals in Tanzania

Bunamwaya Vs El Mereikh mpira utaanza baada ya dk chache kupita
 
Yanga naona wameanza kwa kasi, sijui dk 90 zitaishaje.
 
Yanga wamenza kwa mkwala, lkn hawajapata gori dk ya 17 sasa
 
Yanga:-

1. Yaw Berko
2. Godfrey Taita
3. Oscar Joshua
4. Chacha Marwa
5. Nadir Haroub
6. Nurdin Bakari
7. Julius Mrope
8. Rashid Gumbo
9. Davies Mwape
10.Keneth Asamoah
11.Kigi Makassy
 
Naona kipa wa Elman ana 'kifriji'/kitambi............lol
 
Hawa wasomali hawana nguvu kabisa, wakiguswa kidogo tu chini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…