Yombayomba
JF-Expert Member
- Aug 23, 2006
- 818
- 214
Kweli aisee....Huyo ndo Timbe bwana, nasikia eti anahistoria ya kushinda kimaajabu: ngoja tuone.
Mzee taratibu hilo ni chaguo la uongozi kuwa Ngasa mpya ha ha ha
Hata kwa dawa............
Nadhani mrithi wa Ngasa atakuwa ni Hamis Kiiza.............
kulikuwa na makosa madogomadogo kama kawaida lakini hakubeba mtu..Semeni ukweli ulioko uwanjani, refa hajabeba mtu hapa???
Kivipi? Umesikia Oldtraford Pale?Semeni ukweli ulioko uwanjani, refa hajabeba mtu hapa???
Hawategemei matokeo ya Morogoro?Bunamwaya wanatolewa nje ya mashindano..............
Hata kwa dawa............
Nadhani mrithi wa Ngasa atakuwa ni Hamis Kiiza.............
Hii kweli ni kuponea kwenye tundu la sindano..Eh! yaani siamini. hivi hivi kwenye tundu la sindano.
Duh Mwape anatisha, yaani amefunga kwa mdomo kama ulivyosemaWacha wafungwe tu hao hawana issue,bongo mpira unachezwa mdomoni hahahahaaaaaa
Hawategemei matokeo ya Morogoro?
Huyo mghana hana lolote, bora Tegete...Waungwana hivi huyu mashambuliaji mghana wamo kweli? au wamechukua jina tu? maana namuona dogo Kiiza ni kama wamo zaidi
Huyo ndo Timbe bwana, nasikia eti anahistoria ya kushinda kimaajabu: ngoja tuone.
Ahahahaah!!Duh Mwape anatisha, yaani amefunga kwa mdomo kama ulivyosema
Semeni ukweli ulioko uwanjani, refa hajabeba mtu hapa???