CECAFA KAGAME CUP 2011 Finals in Tanzania

Itategemea na matokeo ya Ulinzi na APR Morogoro...........

Kama best looser ataanza kuangaliwa kwa goal difference, basi APR wanavuliwa ubingwa, kwa sare yoyote watakayopata Moro
 
Nina uhakika Timbe kajifunza kitu mechi ya leo
Tena kikubwa mno
 
Mkuu na huyu Mghana unasemaje? ukimlinganisha na Mwape? au ni mapema saana kusema?

Kenneth Asamoah ni mzuri pia,nadhani game hizi zimemkataa,sema naye ni mtu wa 'anao anao' sana,napenda sana kupiga chenga mpaka golini na kufunga tofauti na Mwape ambaye ana nguvu na anaweza kufanya shooting ya mbali na kupata goli.....Mwape ni sawa na Tegete katika shooting sema Tegete ni mkabaji na anatumia akili kuliko nguvu
 
Nadhan APR ndo wanatoka
Wametoa sare ya ngapi na Ulinzi?

Sijui ni sare ya ngapi, ila wao wanaweza kuingia kutokana na kwamba waliwafunga Ports goli nyingi.
 
Asamoah nae ni mzuri sana
Ipo siku utaona atafit kwenye game
 
Hongereni sana wanayanga wenzangu kwa ushindi na poleni sana kwa kipindi kigumu sana cha pili........
 
Kama best looser ataanza kuangaliwa kwa goal difference, basi APR wanavuliwa ubingwa, kwa sare yoyote watakayopata Moro

APR wana goal difference nzuri nadhani maana game ya kwanza walimfunga Prts FC 4-0,ya pili wakafungwa na St. George 3-1 na leo wametoka sare ya 0-0.................

Bunamwaya wao game ya kwanza waliwafunga Elman 4-0,ya pili wakatoka sare ya 1-1 na Elmereikh na leo wamefungwa 3-2 na Yanga....Bunamwaya wamefungwa magoli mengi ukilinganisha na APR
 
Hongereni sana wanayanga wenzangu kwa ushindi na poleni sana kwa kipindi kigumu sana cha pili........

Shukrani ndugu
Ila mi naamini Yanga ni wazuri sana
Kama kocha asipoharibu hii first eleven aliyoanzisha leo, sioni shida ya ubingwa.
Yaani akomae kukaza beki tu.
 

Mkuu
APR walifungwa 3 - 1
 

Mkuu, APR walipigwa 3-1 na St. George hapo ngoja tuwasubiri CECAFA na kanuni zao za haya mashindano.
 
Bunamwaya wana magoli 7 wamefungwa 4
APR wana magoli 5 wamefungwa 3
 
CECAFA wana mtihani mkubwa sana wa kuchagua best loser............

Inanikumbusha mechi za mwisho za ligi ya VodaCom ambazo hatima yake ilikuwa ni Yanga kuwa bingwa kwa goaal difference.............
 
bila wasi wasi..APR wanarudi kwao rwanda kwa ndege moja pamoja na entincelles..! criteria zote za kimataifa wameshindwa.. APR GD-2, BUNAMWAYA GD-3 NA SCORED GOAL IS 5vs7 kwisha habari yao! sasa simba kukutana na bunamwaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…