Simba wamevukaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
puuumbav...
Asante Batalanda! Hiyo penati ya mwisho ilkuwaje? Kaseja kaicheza au jamaa kapiga nje?Kazi nzuri sana Kaseja
Mkuu asante sana, Tumeshinda bila kutegemea mbeleko. Vipi hayakuumi hayo Ma*****?Bora penalti zije.........tutakamata MAPUMBU
Hivi hujaiona penalt walionyimwa Elmerekh dakika ya 30, mungetoka kweli si afadhali Yanga penalt zingeendelea?hongera sana simba ila inavyoonesha kesho kama yanga hawatabebwa inaweza kula kwao na st george wakacheza na simba..
bala ntakumaindi,