CECAFA KAGAME CUP 2011 Finals in Tanzania

Game linaendelea - Yanga wanaonekana kuelewa sasa - Tatizo Chacha Marwa anaonekana dhaifu kidogo pale nyuma!
 
Yanga wanafanya mabadiliko sasa:-

IN
: Hamis Kiiza OUT: Kiggi Makasi
 
Naona mpira unachezwa zaidi hapa JF, tuleteeni updates za uwanjani.
 
Inasemekana eti ukimuona Timbe amevaa shati la draft-mikono mifuki ujue Yanga kushinda ni lazima; ngoja tusubili tuone:

Makasi nje kaingia Kiiza
 
Taita anaonyesha bado yupo yupo! Anapata mipira lakini hawezi kutoa pass za uhakika!
 
Kuna uhai kwa Yanga wa kuwainua watanzania ndani ya dk 90?
 
Kuna uhai kwa Yanga wa kuwainua watanzania ndani ya dk 90?

Wahabesh wako vizuri zaidi - Wanacheza kwa malengo zaidi - Yanga wanacheza kwa nguvu ya mashabiki zaidi..

Tunaweza kuona Penalti nyingine leo
 
St. George 0 - 0 Yanga

Yanga wanakoswa koswa Nurdin Bakari na Canavaro wanaleta Bhange uwanjani! dk 20
kama wanaonekana kutokuwa makini na game watolewe nje waingie wengine watakaweza kusaidia team ishinde ili fainal tukutanishe watani wa Jadi.
 
Mtu hatoki hapa, Yanga lazima anashinda kwenye dk 90, wanataka wakapakate bhana ha ha ha ha
 
Mh Balatanda,
Simu imeishiwa betri au gemu gumu linakutia simanzi, maana hapa hatupati mambo ya uhakika sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…