CECAFA KAGAME CUP 2011 Finals in Tanzania

Hivi kweli ile penalt ya st.george waliokosa na ile ya yanga zinatofauti? Ndo mana kagame ikichezewa nje timu zetu zinashindwa.
 
SImba wajanja sana . . . . hahahahahah
Eti Yanga kabebwa wakati kumbe St Geogre ndo walibebwa baaada ya refa kukataa goli la Yanga
Wale wahabeshi tungewamaliza dk 90 tu

Kweli Yanga wanajua kulenga yaani mkachana nyavu afu mkapitisha ball pale mnasema goal!
 
Hahahah YANGA HOYEEEEEEEEEEEEEEE, YANGA HOYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE, eti Simba Mchumba tuuuuuu hahahahahahahaahah
 
SImba wajanja sana . . . . hahahahahahEti Yanga kabebwa wakati kumbe St Geogre ndo walibebwa baaada ya refa kukataa goli la YangaWale wahabeshi tungewamaliza dk 90 tu
Hakuna aja ya kulumbana fulani kabebwa fulani kabebwa, kila mtu amejionea: Cha msingi tumshukuru Mungu kombe lina baki Tanzania na pesa za mshindi wa kwanza na wa pili wanachukua watanzania na hapohapo Kodi inakatwa pato la taifa linaongezeka.
 


Watani Mtabaki na sura dizaini hizi jpili hahahahahahah NUNAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
 
Hakuna aja ya kulumbana fulani kabebwa fulani kabebwa, kila mtu amejionea: Cha msingi tumshukuru Mungu kombe lina baki Tanzania na pesa za mshindi wa kwanza na wa pili wanachukua watanzania na hapohapo Kodi inakatwa pato la taifa linaongezeka.
Hivi huwa inakatwa kodi ile fedha ya ushindi?
 
CECAFA wako kimaslahi zaidi, j'pili macho yao yote yapo kwenye mapato. Na ndio maana kuna maamuzi mengine ya waamuzi yanachanganya!
 
Sina tatizo na marefa kusindikizwa na wazee wa kombati! Kwa wale ambao hatukuangalia tunahitaji facts ili kujua kumetokea nn. Hata bila kusema mpira ukigonga mwamba ni LAZIMA urudi/utue chini. Ulitaka kuleta msg gani bwana mdogo?
 
Watu wako kimaslai zaidi jamani simba na yanga zikikutana mapato yatakuwa juu ie simple logic
 
Reactions: Nzi
CECAFA wako kimaslahi zaidi, j'pili macho yao yote yapo kwenye mapato. Na ndio maana kuna maamuzi mengine ya waamuzi yanachanganya!

Yaani mi nawashangaa sana Simba
Yaani nyie mliwataka St Geogre fainali, baada ya kuwakosa mnaanza ulalamishi
Daaaah, oooh CECAFA mapato, TFF wamepanga matokeo . . . . yaani hamtulii mkaongea ukweli

Bao la Yanga limekataliwa, na bado mnadai Yanga kabebwa, hebu semeni kabebwa wapi leo?
 

KOMBE la CECAFA...litabakia TANZANIA........wapi haswa JANGWANI au MSIMBAZI ndo SWALI????
Tuelekeze mjadala wetu sasa hapo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…