CECAFA Makundi: Tanzania vs Ethiopia

Status
Not open for further replies.
Hapo safi sasa, lazima tupoozee hasira zetu za kupigwa
wiki kwa hawa vibonde wenzetu kisoka.

Sure, maana hata hawa wakitushinda basi inatakiwa Magufuli atanganze kwamba sherehe za uhuru tuadhimishe kwa kucheza mpira
 
Litbc badala ya kuonyesha hii mechi eti yameweka sijui bundesliga alafu yanatangaza kwa kiswahili, hovyo sana hii tv. Ifungwe tu!
 
Tanzania 1-1 Ethiopia, 90'
Mbonde kajifunga
 
Quarter finals on Monday
Tanzania vs Ethiopia

Usiniulize ni kwanini tunacheza nao tena Jumatatu!
 
Sure, maana hata hawa wakitushinda basi inatakiwa Magufuli atanganze kwamba sherehe za uhuru tuadhimishe kwa kucheza mpira

ahaaaa...huyu jamaa hana swaga na sherehe za kidwanzi dwanzi.
 
Jamani hili goal tulilojifunga sio tumewapa goal makusudi hawa wenyeji ili waendelee kubaki ktk mashindano, jinsi alivyoupiga beki hauoneshi km kweli alikuwa na nia ya kuutoa nje ule mpira
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…