Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Mgombea urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia Makini amesema wakiingia madarakani wataboresha huduma za afya ili kupunguza vifo vya wajawazito.
Amesema watawasomesha wasafishaji wa wodi za Hospitali ‘ward attendants’ kwa kozi za ukunga za miezi sita au miezi mitatu wakifuzu watapelekwa vijijini ili kuwahudumia wananchi wa huko.
Amesema wauguzi wenye digree na diploma wamekuwa ni watu wasiopenda kufanya kazi vijini hivyo wamekuwa wakitafuta sababu za kuhama kutoka huko.
Kutokana na hilo Demokrasia Makini inaona njia sahihi ni kuwasomesha ward attendants ili wakapunguze vifo vya wajawazito vijijini.
Amesema watawasomesha wasafishaji wa wodi za Hospitali ‘ward attendants’ kwa kozi za ukunga za miezi sita au miezi mitatu wakifuzu watapelekwa vijijini ili kuwahudumia wananchi wa huko.
Amesema wauguzi wenye digree na diploma wamekuwa ni watu wasiopenda kufanya kazi vijini hivyo wamekuwa wakitafuta sababu za kuhama kutoka huko.
Kutokana na hilo Demokrasia Makini inaona njia sahihi ni kuwasomesha ward attendants ili wakapunguze vifo vya wajawazito vijijini.