Cedric Kaze aanza kwa kipigo dhidi ya JKT Tanzania

Cedric Kaze aanza kwa kipigo dhidi ya JKT Tanzania

Soloma TV Online

Senior Member
Joined
Jun 26, 2023
Posts
104
Reaction score
291
Katika mchezo wa kwanza uliopigwa ndani ya Uwanja wa Majaliwa Timu ya Namungo inayonolewa na Kocha Mkuu Cedric Kaze aliyekuwa Kocha Msaidizi wa Yanga imeanza mbio zake za ligi kwa kipigo cha goli moja kutoka kwa wapiga kwata JKT Tanzania.

#solomatv_updates

png_20230815_212710_0000.jpg
 
Academy ya Barcelona iliyokuwa Canada
 
Makocha kutoka utopolo ni weupe sana pale utopolo huwa wanasaidiwa na ndumba
 
Ndio wajue yule kocha hana mbinu, ni moja kati ya makocha wabovu nchini.
Kwani kuna kocha ambaye afungwi?.Kufungwa kwa timu kunasababishwa na mambo mengi ndani ya uwanja hadi nje ya uwanja.Kaze ni kocha mzuri mengine ni mambo tu ya mchezo.
 
Jamiiforum kama bahari, ina mazao bora na pia kuna taka nyingi ila ndio ikolojia yenyewe ya bahari.

Kaze kufungwa mechi inaonekana si kocha, wanasahau Mgunda alishawahi kushuka daraja na coast !!
Tukumbuke mpira una matokeao matatu.
Tuna ujuaji mwingi sana.
 
Back
Top Bottom