Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Mbona tv imeonyesha alikuwa onside akawazidi mabeki speed na ujanja .Sema tu...Utopolo Wamepewa Goli La Offside, Yao alipokea mpira akiwa ameotea
Wale wachambuzi wa mchongo wa EFM-Radio🤔bado kesho wachambuzi wakiamka! yani mtasema mpaka wiki iishe
Ulichoongea kina ukweli kwa 100%. Namungo walionesha upinzani mkubwa sana kwenye mechi ya jana. Hakika Yanga jana alipata mpinzani wa kweli.
Na wakiendelea kucheza kwa kiwango kila cha jana, basi nawategemea kwenye 5 bora. Hata goli walilofungwa, yalikuwa ni matokeo tu ya kucheza na timu kubwa.
Kwa upande wangu nilijua mechi ingeisha kwa sare ya 0-0.