Cedric Kaze kocha msaidizi wa klabu ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini kufanya kazi Nasreddine Nabi

Cedric Kaze kocha msaidizi wa klabu ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini kufanya kazi Nasreddine Nabi

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Hatimaye plan ya Nabi kumleta Kaze ndani ya Kaizer Chiefs imetimia. Unaweza kusema colabo yao ndani ya Yanga katika misimu miwili yenye mafanikio imeifanya Kaizer nao kuwapa nafasi ya kufanya kazi pamoja.

Ngoja tuone utavuna nini ndani ya msimu huu!
===============
Aliyekuwa kocha wa Yanga Sc, Cedric Kaze raia wa Burundi ameteuliwa kuwa kocha msaidizi wa klabu ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini akitarajiwa kufanya kazi chini ya Mtunisia, Nasreddine Nabi ambaye pia alifanya naye kazi Young Africans Sc.

“Ongezejo hili la kimkakati kwenye timu yetu ya ufundi chini ya kocha Nasreddine Nabi linalenga kuimarisha utendaji wa Klabu na matarajio ya msimu huu.” ——imesema taarifa ya klabu hiyo.

=======
Chiefs Strengthen Technical Team with Cedric Kaze as Assistant Coach

Kaizer Chiefs have appointed Cedric Kaze as the new assistant coach. This strategic addition to coach Nasreddine Nabi’s technical team aims to bolster the Club’s performance and aspirations for the season.

Snapinsta.app_463756510_384669911266532_6183503988538594489_n_1080.jpg
 
Shida wasauzi HAWATOI BAHASHA ZA KAKI KWA MAREFA.unatakiwa ulete point 3 mwenyewe hapa ndipo shida inaanzia
Sio kweli . south africa kuna makosa ya kibinandamu mengi sanaa . Sundowns and pirates ni bahasha tu za kaki . Kaizer ndo wanaamka sasa .
 
Bongo waandishi waliwahi sema NABI na CAZE haziivi na wanakunjana Ngumu😂😂😂
Sa Leo imekuaje NABI kampigia Pande mtu ambae walikua haziivi?

Waandishi Bongo daaa
Bado mnaangaika na waandishi wa bongo?wengi wao ni wanazi wa timu za pia wanatumika kimaslahi Yao na siyo weledi.
 
Back
Top Bottom