Celeb wetu na bastola facebook

Yo Yo

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2008
Posts
11,210
Reaction score
1,720
Siku hizi bana......sijui sheria ya umiliki wa silaha unasemaje?


mtangazaji wa clouds fm anodi kayanda...ubabe ubabe tu.....



risasi tayari tayari.....na mie naweka gurneti langu....
 
We unaonekana ni m2 wake wa karbu sana
umepataje hzo pics
 
Ushamba tuuu bastola zinaonekana kwny muvi na watu kibao wanazo
 
Kwani huyu naye anajieka katika kundi la watu maarufu (celeb)??
 
Siku hizi bana......sijui sheria ya umiliki wa silaha unasemaje?


mtangazaji wa clouds fm anodi kayanda...ubabe ubabe tu.....



risasi tayari tayari.....na mie naweka gurneti langu....

Anorld Kayanda sio mtanzania na hajawahi kuwa mtanzania. Ni Mnyarwanda pure hivyo sishangai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…