Celebrities wengi wanaiogopa JF au hawaipendi?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Chunguza kwa makini celebrities wengi huwaoni humu! Najua id zetu ni feki na si rahisi kumtambua mtu lakini kwa jinsi walivyo na mashauzi tungewajua tuu, manake wako hivi; wazuri wao, mahandsome wao, wenye akili sana wao, wenye pesa wao, wenye kujulikana sana wao! Na kama wamo humu tutajua tuu
 
Kwa sifa hizo ulizotaja kila mtu humu Celeb kasoro mie.
 
Si wamezoea kuwachota nyota mamburula huko kwenye mitandao mingine huku kwa ma griti sinka nan atawapa sifa za kijinga zaidi watashushuliwa na kuumbuliwa....
Kama wapo wanaisoma namba kimya kimya.
 
Facebook na Instagram zinawatosha !

Humu watakuja kuongea pumba tu kina hemmedy
 
Wanaogopa kutolewa nduki huku sio saizi yao
 
Wengi vilaza, hawapendi kushughulisha vichwa vyao, alafu wanasikiaga jf ni kwa wasomi so wanaona hawana vigezo, alafu hamna kuuza rura,teemz,ushaabik wa kipuuz.Actually wanaogopa
 
Chezea jf wewe utachamba wima . Wenyewe wanapenda wakitupia picha kwenye mitandao wasifiwe ukifanya other wise ni hater hawapendi kuambiwa ukweli
 
celeb tz tafsiri yake ni kujulikana kwa upuuzi, sasa jf haiendekezi upuuzi, pili wengi njaa wanavihela vya kuwezeshwa na inapotokea muwezeshaji kaachia ngazi inakua bonge la aibu, ooh mara kanyang'anywa studio mara kapigwa. huo sio uceleb bali umal@y@ 2
 
wataweza jf kwa ma great thinker huku wanapewa ukweli wao IG kuna wafaa sio huku
 
Wengi vilaza, hawapendi kushughulisha vichwa vyao, alafu wanasikiaga jf ni kwa wasomi so wanaona hawana vigezo, alafu hamna kuuza rura,teemz,ushaabik wa kipuuz.Actually wanaogopa

Kwa hiyo na wewe kwa uandishi wako huu upo kwenye kundi la wasomi?? Mimi naona tu uungane na hao unaowasema hapa!
 

Si wanogopa shule ndogo sa wataingea nn apa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…