Celebrities wenye followers wengi zaidi Tanzania

Mnamsahau Mange naye ana 3.6 na kawa verified
 
mond ana followes wengi kuliko wizkid,but sijui ni nini??
 
Daaaaaaah ko diamond platinum the king and one and only anamzidi kiba100 kila kitu daaaaaaah, kweli kiba 100 kaisha akalee tu wajukuu na miaka yake 45+
 
King Kiba 4 point something followers but He followed no one kuna MANYAU YANAUMIA HAPO BALAA....BONGO HAMNA MWENYE FOLLOWERS WA KIASI HICHO AMBAYE HAJAMFOLLOW MTU.
Daaaaaaah unamshobokea huyo shoga wako,ko point yako ni ipi hata kwa diamond aaunfollow wote atabakia na haohao,so hoja ni mwenye followers wengi na sio blaaahablaaah ebooooooh peleka uswokwe wako Gombe na Mahale
 
Hapo nimem-follow Millard ayo,na nimejiunga insta march 2013,inabidi niongeze mmoja kati ya orodha yako hapo juu,
 
Kiba ana followers zaidi ya hao 4 million sema hapendi show off tu kawaambia instagram wawafiche wengine tusiwaone.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…