Celebrity aliye mzuri kupita wote hapa Bongo ni huyu

Hamna kitu hapo, wewe utakuwa msukuma ndio unamwona huyu mzuri.
Huyu anatoa/date na Dr Cheni ambaye ndio mwalimu wake a u-Mc na ukitaka kuzipata nenda kwa Shigongo Sinza .
 
lips zake hazikutii za Wema sepetu, ni mfupi, hips zake baado kabisa, huwezi pigiwa bao tatu mfulilizo, kwa mabaaria wanaelewa hii.
 
Wakuu Siku Hizi Watoto Wa Kike Wanaomba Wenyewe Kupitishwa Bara² Ya Vumbi, Kupita Lami Wala Hawataki Eti [emoji58][emoji58]
 
Alafu yy mwenye ndiye aliyekuwa ana shoot na kamera yake,ila tako analo na aliyekula kafaidi,tako laini.

Ninachomwonea huruma kishajiharibia kazi yake ya uMC.

Ila mademu wengi wakali hizi video wanazo kwenye simu au PC zao.

Hapa ndipo nipatapo majibu kwa nn aliachika mara mbili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…