Celebrity atatoka Dar kuja Mwanza, analima mpunga Iringa

Celebrity atatoka Dar kuja Mwanza, analima mpunga Iringa

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
14,540
Reaction score
30,875
Nilianza kama utani kumbe kweli, kama mnakumbuka Kuna uzi niliwahi kuwaambia Kwa mara ya kwanza nililala na bongo fleva. Ipo hivi, MIMI nipo Mwanza city juzi nilipata namba yake kwa yule msanii wa bongo fleva niliyemgonga mwaka jana, aliponipa namba akanipa na mbinu za kivita jinsi ya kupambana na huyu mrembo mwenye shepu nzito na ziwa la maana, mwenye biashara zake za urembo mjini. Anauza mawigi, kucha na kuweka kope duka lake lipo Mbezi Beach

Nimemaliza kila kitu na kesho anafika jiji la Mwanza kunitunuku papuchi. Sasa shida ipo kwenye kutafuta sehemu nzuri zaidi ya Malaika. Anyway nitaenda nae Tilapia angalau Kwa Ile hotel tutaenjoy. Malipo yake ni ya kawaida tu ila bila kuwa na code za watoto wa mjini hata useme una million kumi humpati ng'oo.

Alikujaga kunivutia zaidi kwenye Ile nyimbo ya jeshi "Bed room". Ngoja nilale zangu kesho nitawapa mrejesho
 
Nilianza kama utani kumbe kweli, kama mnakumbuka Kuna uzi niliwahi kuwaambia Kwa Mara ya kwanza nililala na bongo fleva. Ipo hivi, MIMI nipo mwanza city juzi nilipata namba yake Kwa yule msanii wa bongo fleva niliyemgonga mwaka jana, aliponipa namba akanipa na mbinu za kivita jinsi ya kupambana na huyu mrembo mwenye shepu nzito na ziwa la maana, mwenye biashara zake za urembo mjini. Anauza mawigi, kucha na kuweka kope duka lake lipo mbezi Beach

Nimemaliza kila kitu na kesho anafika jiji la mwanza kunitunuku papuchi. Sasa shida ipo kwenye kutafuta sehemu nzuri zaidi ya Malaika. Anyway nitaenda nae Tilapia angalau Kwa Ile hotel tutaenjoy. Malipo yake ni yakawaida tu ila bila kuwa na code za watoto wa mjini hata useme una million kumi humpati ng'oo.

Alikujaga kunivutia zaidi kwenye Ile nyimbo ya jeshi "Bed room". Ngoja nilale zangu kesho nitawapa mrejesho
Mtaje jina tunajua hatumii jamii forums isije ikawa tunashare pisi
 
tatizo hotel au noti?
mpeleke kuna chimbo linaitwa wag hill,price ni 750k pako poa tu



NB hizi ndio mada zetu za kuchangia sisi ambao sio magenius
Screenshot_2023-03-11-20-44-09.png
 
Back
Top Bottom