Celebrity Lawyer Albert Msando: Utajiri wa ghafla wamchanganya, afanya kufuru

Status
Not open for further replies.

instagram

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
2,118
Reaction score
4,863
Mwanasheria Albert Msando ambaye alipata ummarufu kupiti CHADEMA alipo ukwaa udiwani wa moshi na kupata shavu kadhaa za uwakili sasa ameonesha nyodo za kutosha kupitia ukurasa wake wa instagram kwa kutupia picha mbalimbali za magari yake na mijengo yake na kuwatupia vijembe vijana wengine ambao bado wanasota vijiweni choka mbaya wajifunze kwa kutamani mafanikio yake.

pia amekuwa akiwaponda vijana wa kishua ambao kucha kutupia picha za magari ya baba zao na nyumba za baba zao kwani hata yeye anazo.

Kwa anayejua siri ya mafanikio ya huyu jamaa atusaidie kwani hata mimi ni lawyer ila nasota kesi za kuku na hata baskeli sina. Wabongo hawakawii ohh ugali huo, mara escrow.....



kufuru

Update : Anaye post Vya Baba yake..
 
Namuunga mkono msando, km mali ni yako na ya halali you must enjoy it in daylight. Maybe one day i will have these staff more than Msando, still working hard and fairly fighting for my future.

"WAKATI WA KUISHI MAISHA FAKE NA KUPIGA PICHA MAENEO MAZURI ILI KUZUGA ULISHA PITA"
 
huo ni utajiri au 'middle class'?
mi naona ni upper middle class'

nyumba ya aina hiyo watu wengi middle class wanazo

magari hayo used bei ya kawaida
unless awe anaaigiza new kabisa...
 
Ndo tatizo la wabongolala ushaambiwa #getangry #Getinspired we unaleta wivu haya tuonyeshe unacho post na wewe kazi yenu kuringishiana huko mkishindwa mnakikimbilia jf muishie hukohuko mbaaaf
sasa hiyo #getangry #Getinspired ina faida gani kwa watu wengine zaidi ya kuringishia tuu. mbona uko chadema kuna kina zito na kina mbowe wana hela ndefu zaidi na hawaposti instagram? na wanasheria kina mkono nao wafanyeje? au wakina Masha nao waringishie itakuwaje? kuinspire watu siyo kuwaringishia magari yako hebu ona Mengi anavyoangaika na kina mama na saccos ndo ujue maana ya #getangry #Getinspired
 
Kuna anayemchukia kwa kupiga picha na hivyo vi-gari vikuukuu?

lakini bro mbona vigari vizuri kwa kibongo bongo!!

sisi tusiokuwa na hata kavits ,tunaviona vikali

labda huko kwa Obama ndo vinaonekana vikuu juu.
 
lakini bro mbona vigari vizuri kwa kibongo bongo!!

sisi tusiokuwa na hata kavits ,tunaviona vikali

labda huko kwa Obama ndo vinaonekana vikuu juu.

Hahahaaa manake hata nyumba yenyewe ya kawaida tu.

I mean, yaani hicho ki-benz kimeenda age halafu unapiga nacho picha na kuziweka mtandaoni?

Oh well, to each his own.
 

Mi mnanishangaza nyie watu wa huko Instagram na moja kati ya picha ulizotuma hapa amesema we mwenyewe una mfollow halafu unataka umpangie cha kupost au yeye ndo alikufollow yani ki ujumla hiyo id yako maudhui ya huo mtandao kwa wabongo ni kuringishiana narudia tena ukiona umeshindwa kwenye kuringishiana ishia hukohuko kwa nini hajaja kupost humu huo ushuzi unadhani hana id anajua ambacho kingemkuta so tulieni bakora ziwaingie
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…