Celebrity Lawyer Albert Msando: Utajiri wa ghafla wamchanganya, afanya kufuru

Status
Not open for further replies.

hahahaaa imagine Rugemalila anavyogawa mabilioni yake kwa mavi mavi angeamua kupiga nazo picha zile biilioni 1.6 alizompa chenge na 1.6 alizompa tiba,then apige picha na zile USD $78 million alizolipwa escrow sijui kama pangetosha insta. Au mohamed dewji na mengi wapige picha na mabillion ya dollar walizo nazo sizani kama Gavana benno ndulu ana izo hela reserve za kuwapatatia kwa muda watakaotaka kupiga nazo picha fweza zao. Na ukizingatia hapa hakuna hata nyani moja anayefahamu gari la mengi hata moja linafananaje
 

For the love of mike,ur just a critiq...!!
 
Kotakaa kujova chindu mlongo wangu,kuperamihu kuna magari venga, 2002 niliona libenzi iyendesha buruda wa kumissionnnn tena lihumili kujerumani. Ila unihekisi kweli na chingoni hiki mlongo wangu nikosiwi lepa kumbe....za mahengu.may be va mlongo vangu.social network Hizi unaweza chati na kaka yako kwakweliii...lol


Eeeena vamlekai tu!
Yenyeee magaaali haya kuperamiho kule hata Buruda Yukundusi hayajui!
Pepayiii weeeenga!
Vamlekaai tu!
 
Ulimbukeni na ushamba....hapo umemaliza mjadala haina haja ya kuongeza
Ana haki ya kufanya alitakalo na hela zake lakini hilo bado halinizui kuona "ulimbukeni" na "ushamba" kwa mbaaali.
 
Yaani amenunua kudhalilikaa tu,yeye na familia yake yaani mke wake.na anajua jamaa anaitwa nje.yaani ndoa hiziii!

Hahahahahahahahaha
Kwa post ya amu wallahi Albert atatamani kuweka video ya shughuli zake!
Kutetea utajiri wake na pande hizo
Aseee amemuua vibaaaaaya!
Dah!
Kama namuona na vile vizibao vyake!
 
Yaani najiuliza Hivi watanzania kukubali kudanganywa kama watoto tuta acha lini?yaani Mtu hawajuiiii hata Kazi yake ila akiweka picha insta wanaanza kumwita bilionaire.nadhani watz watavunja record ya Guinness kwa Kuwa watu rahis zaidi kukubali kudanganywa duniani.


Mi nimeamua kuamini anaiba...... anafanya haramu! @35? Bongo hii hii? Spare me pleaaaaaase....... Kipi likubwa anachofanya unachokijua? Uloya? C'moooon....... eti umaarufu baada ya kuwa diwani!!! YOU PEOPLE!!!
 
Minakuelewa mkuu,unajitaidi kuelimisha Hizi kichwa lakini hazielewi.kwani hujui bongo kilamtu ni shark?unaongelea Kuwa na nyumba Malibu wenzio they have no idea what u are talking about.achana nao jua kali!

Usikute kati ya Wabongo 100 ni mmoja tu ajuaye hilo.

Na baadhi ya hayo magari resale value yake ni ndogo sana.[/QU
 

Naona na wewe umeamua kutupa inspiration na hasira

For a moment u are being like him. 20K USD. Kumbe JF kuna Watu mpo bora sana. Hongera
 
Naona na wewe umeamua kutupa inspiration na hasira

For a moment u are being like him. 20K USD. Kumbe JF kuna Watu mpo bora sana. Hongera

Mimi huwezi kunikuta na-flash wads of cash in any currency.

Huwezi kunikuta Facebook, Instagram, Twitter na huko kwingine ambako watu huweka mapicha yao.

And 20K ain't a thing to me. I don't need to inspire strangers on the world wide web.
 
Naona na wewe umeamua kutupa inspiration na hasira

For a moment u are being like him. 20K USD. Kumbe JF kuna Watu mpo bora sana. Hongera
Mkuu, hawa watu wanaokejeliwa humu kama wabeba box; kwa wale wanaojitambua, trust me; 20K USD ipo within their reach!.
 
Una wivu wewe. Ukizeeka lazima uwe mchawi, halafu ulivyo na bahati mbaya madereva boda boda tu na wapiga debe ndio wanakutokea, pole sana

Kwa heshima ya jukwaa na kwa niaba ya waungwana tunakuomba ututake madereva wa boda boda kwani nayo ni kazi kama wewe unavyodamka kwenda kwa mhindi..na tunastahili vile vile kula vinono na sio scraper.....
 
Mkuu, hawa watu wanaokejeliwa humu kama wabeba box; kwa wale wanaojitambua, trust me; 20K USD ipo within their reach!.

Ukipiga hesabu za likizo ya "mbeba box" wa kweli anayekuja likizo ya wiki tatu, kuanzia air fare mpaka vilaptop na visimu vya zawadi na vinguo na vimikoba na viperfume atakavyokuja navyo, vijizinga atakavyopigwa hapo, kujirusha, kuweka mambo fulani fulani sawa nyumbani etc, we are talking $18,000 - $20,000 easily.

Nishafanya hivyo, naongelea kitu ambacho nakijua.

Pia ukijisahau, matumizi ya kawaida tu ya mwezi mmoja au miwili (US) una rack up figure ya $10,000.

I have done that in the past 2 calendar months, na December hata haijaisha.Mara Samsung wametoa ki tablet kipya umedaka, mara kuna simu Note 4 umedaka, mara kuna Onkyo Bluetooth Wifi receiver, that's two grands down.

And that Onkyo is for the basement, you gotta have the Denon for the living room, mom pops and lil sis have to get new phones, cousin is asking for Christmas money, thats 3 grand right there. Plus the earlier two thats 5 grand.

I am nit even talking about that two grand you spent with Miss Thang on a weekend trip to DC. That's seven grand right there.

Oh, there is that one grand you pledged for a favorite cousins wedding, that's eight grand.

And of course had to get a new camera and those Onkyo and Denon receivers dont play jack on their own, gotta get some fly speakers and DLNA ready network drives, thats ten grand right there.

And a brothers hasnt even had a pair of Clarks or Cole Haan yet, if one works that Calvin Klein handbag for Miss Thang, ten grand ain't enough.

Nawashangaa watu wanavyoshangaa kibenzi cha $9,000, if that.

Matumizi ya mwezi tu hayo.
 
Pamoja na kuwa alberto ni mshamba ila kuna watu kimewachoma watatoa povu hadi asubuhi... Mshamba akierevuka mjanja uko matatani... Nyaga alimuonesha mji sasa yeye anataka kuuzidi mji wenyewe!! Hii kafanya sababu ya ulimbukeni ili malaya pori washoboke, badala yake imewatouch wabeba box
 

Iliyemtouch si "mbeba box" wa kweli, labda mtu asiye na makaratasi anayefanya kazi za kulipwa under the tables.

I got cribs in the hood and leafy burbs, Gotham no less. And next month I'm giving kid bro seed money to buy a multifamily. Why should I be touched by an obvious limbukeni who despite of slugging it through a law degree, apparently still does not know what is an asset from a liability and not to act like some common limbukeni stuck back with eighties uneducated rappers?

Na hata ningekuwa Manzese kwa mfuga mbwa, kwa nini niwe touched na cha mtu?
 
IF U WANNA HATE ME, HATE ME

What can I do?, funny I was just like u, I had 2 hussle hard until I made it.....now u are sayin..........

These are my cars & house u can live in that too

People warned me , when you are on top there is envy
 
Chezea kubeba box halafu mwenzio umemuacha bongo unasikia ana mchuzi mrefu hata kama sio bilionea in terms of bilione wa ulaya, we unaishia kurudi na raba, jeans na ipad!!!!! Lazima ikuume! ASHKI MAJINUNI

Duh eti ashki majinun....I

Ila we amu kiboko......
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…