eti vigari vikuukuu, kweli ni ngumu kumeza
Tanzania level ya mtu kuitwa 'tajiri' inategemea kiwango cha umaskini cha walio mzunguka
go figure
The guy is rich enough to show us what's he own.no comment
Kwa maisha ya Msando kuna wabeba box kibao hawawezi kumfikia hadi wengine wanafikia nyumban wakitoka. Nina uhakika hiyo range wengine huko huko mnaishia kuiona kwa watu.
jamaa ana Benz 3
Range Rover _2
1_BMW
2_Toyota
1_pigeout
na motorbike 3 na ana 35 yrs tu.
sasa Wewe mchukie tu mtu aliyekuzidi kila kitu na wala hakujui!!
[URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=get]#get [/URL] angry or [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=get]#get [/URL] inspired!!
mimi nimeamua kuwa inspired!!
Chezea kubeba box halafu mwenzio umemuacha bongo unasikia ana mchuzi mrefu hata kama sio bilionea in terms of bilione wa ulaya, we unaishia kurudi na raba, jeans na ipad!!!!! Lazima ikuume! ASHKI MAJINUNI
Hahahahahahahaaa, ila unajua huwa inauma sana unasepa zako unyamwezini halafu unasikia mchizi back home made it big time kibongobongo sio lazima afanane na PDIDDY lakini ile sana tu, lazima utoe povu, kijana yupo vizuri sana na hata Cessna anamiliki sasa kama wewe unaona sio mafanikio kula ndimu! Ila hata huko mtoni mkwanja alionao anaishi fresh tu hashindwi kununua nyumba hata ya dola laki sita ambayo ni sehemu nzuri tu ambayo ni dream kwa mbeba box. lets be honest wazee!
🙊🙊🙊 hahahahahaha aisee amu umepona kwa hilo jembe?
unauliza majibu?
Bongo hivi hiyo mi Range ikikongoroka washapata sehemu ya kutengenezea hapo?
Nakumbuka back in the nineties Range likiharibika vifaa mpaka Nairobi.
Range mbona ziko kibao hata hapo kona chini ya mti wanatengeneza. Shida huyu dogo nae ana range ya 2014 bwana ndo inatutoa roho hapa.
Halafu Paw nae bwana, hela ya escrow haijampitia hata kabilioni kamoja. Hapa ni #jotohasira tu.
Range za 2014 si ndiyo hizi za Wahindi wa TATA? Injini ya Ford Explorer?
Nani anataka takataka za TATA?
Watu tumetumia Range wakati bado Range, Vogue, mid nineties. Hizi Range za TATA kama nilivyosema hapo mwanzo hata kumtumia honey zawadi ya Christmas ni kashfa.
Halafu wewe...
Yeye anamiliki sijui vidude gani hivyo vya chini mie nina private jet range 3.
At the age of 27.
Sasa hatuwezi kuonana yeye anatembea chini mimi juu..
Sema hivyo videm vyake ninavyowapa lift ndo wananiambia.
Bwana weeh, ndo hivyo hivyo. Nimeona watu wanararuana abt Versace feki huko insta. Wamempivia mu hesabu juu hadi chini wakaamua hii jumla haiwezi atakuwa anavaa mchina.
Anyways, kama ndo anapofikia kujikuna no sawa kwangu. Baby walker yangu inanipeleka kila nitakapo until i can afford baiskeli.
Range za 2014 si ndiyo hizi za Wahindi wa TATA? Injini ya Ford Explorer?
Nani anataka takataka za TATA?
Watu tumetumia Range wakati bado Range, Vogue, mid nineties. Hizi Range za TATA kama nilivyosema hapo mwanzo hata kumtumia honey zawadi ya Christmas ni kashfa.
You got jokes.
Tanzanians hyperventilate over non issues.
Tell me he has a crib up in Malibu like a Nguema, then you will have my attention.
Range mbona ziko kibao hata hapo kona chini ya mti wanatengeneza. Shida huyu dogo nae ana range ya 2014 bwana ndo inatutoa roho hapa.
Halafu Paw nae bwana, hela ya escrow haijampitia hata kabilioni kamoja. Hapa ni #jotohasira tu.