Zain ......it sounds Zanzibarian
Any way, sidhani kama ni kukwepa kodi, kama kampuni inaweza kukwepa katika nchi 14 za Africa (ambapo Celtel ilikuwepo) kwa mkupuo basi waafrika "tumeoza".
Naamini haya ni mabadiliko ya kibiashara tu na hayahusiani na kukwepa kodi.