Cement imepanda bei balaa, naambiwa kuna tozo ya Serikali haijaanza kutozwa

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
7,914
Reaction score
10,793
Embu twambie huko kwenu inauzwaje?

Niko hapa Dar. Cement ni kati ya 16,500 n 18,000.

Mishahara iko palepale.

Tunauliza; Tutajenga kweli?. Naambiwa kuna TOZO ya Serikali haijaanza kutozwa - Sijui ni ipi hiyo.
 
Kwenye budget iliyosomwa bungeni na Nachemba Mwigulu alisemea wamekusudia kuongeza 10% kama tozo kwenye
bei ya mauzo kwenye kila mfuko mmoja wa cement inayotengenezwa ndani na ambazo ni imported
 
Embu twambie huko kwenu inauwaje?

Niko hapa Dar. Cement ni kati ya 16,500 n 18,000.

Mishahara iko palepale.

Tunauliza; Tutajenga kweli?. Naambiwa kuna TOZO ya Serikali haijaanza kutozwa - Sijui ni ipi hiyo.
watakwambia DPW watashusha bei ya Cement, CCM akili zao wanazijua wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…