TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Mafundi ujenzi wa bongo kwa "swagga" hawajambo . Nilikutana nao site moja pale...wakiosha vifaa vyao vya kazi....mida ya jioni !
Mmoja alianza kwa kusema..." itabidi tuanze mgomo wa kutotumia sementi hii "...
Mwenzake akadakia kwa swali,.."Kwani vipi, Mbaba!?"
.."Sementi gani hii inanuka Shombo...,nimeosha vifaa nimeoga lakini bado ninanuka shombo kutokana na sementi hii" akajibu swali lile la fundi Mtwishe.
"Mwenzenu , shombo nilianza kulisikia toka boss alipotubadilisha siment juzi, nikadhani labda pua zangu zina wazimu..." Mtwishe huyo.
Saidia fundi, mmoja aliyekuwa anafuatili mjadala naye akadakia kwa kusema kuwa, alisikia siku moja watu wanasema sementi mpya, ingawa ni nafuu, ila inachanganywa na makaa ya mawe feki kutoka nje ya nchi na mtengezaji wa sementi hataki kuiosha na gesi asilia orijino inayopatika a hapa nchini kabla ya kuipakia kwenye viroba tayari kwa kuuzwa. Saidia fundi huyo aliongeza kuwa alisikia wanasema mtengenezaji anajaribu kupunguza gharama za uzalishaji....
ili apate faida kubwa
Mpaka hapo nilishindwa kuendelea kufuatilia maongezi yao.
Mmoja alianza kwa kusema..." itabidi tuanze mgomo wa kutotumia sementi hii "...
Mwenzake akadakia kwa swali,.."Kwani vipi, Mbaba!?"
.."Sementi gani hii inanuka Shombo...,nimeosha vifaa nimeoga lakini bado ninanuka shombo kutokana na sementi hii" akajibu swali lile la fundi Mtwishe.
"Mwenzenu , shombo nilianza kulisikia toka boss alipotubadilisha siment juzi, nikadhani labda pua zangu zina wazimu..." Mtwishe huyo.
Saidia fundi, mmoja aliyekuwa anafuatili mjadala naye akadakia kwa kusema kuwa, alisikia siku moja watu wanasema sementi mpya, ingawa ni nafuu, ila inachanganywa na makaa ya mawe feki kutoka nje ya nchi na mtengezaji wa sementi hataki kuiosha na gesi asilia orijino inayopatika a hapa nchini kabla ya kuipakia kwenye viroba tayari kwa kuuzwa. Saidia fundi huyo aliongeza kuwa alisikia wanasema mtengenezaji anajaribu kupunguza gharama za uzalishaji....
ili apate faida kubwa
Mpaka hapo nilishindwa kuendelea kufuatilia maongezi yao.