OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Ikiwa habari ya kesho ni hii basi huyu dada anatakiwa kuingia moja kwa moja peponi.
Msije kuniua, nimetumia lugha ya picha tu. Nachotaka kusema kocha ametafuniwa kila kitu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu watanunaa hao. Na matusi ya kimoyomoyo, mimi nasema wakitukana na wao hivyohivyo.View attachment 2314451
Ikiwa habari ya kesho ni hii basi huyu dada anatakiwa kuingia moja kwa moja peponi.
Msije kuniua, nimetumia lugha ya picha tu. Nachotaka kusema kocha ametafuniwa kila kitu!
Free agent ngomaUto nao sijui wamemnasa nani naona wana jambo saa 6:01
Fabrice ngoma.Uto nao sijui wamemnasa nani naona wana jambo saa 6:01
Uto huwa wanaokota wacheza waliotemwa ndo wanatambulisha,Aziza Kei tu ndo angalau wamejitutumua tena kwa mbinde sana.Uto nao sijui wamemnasa nani naona wana jambo saa 6:01
Kocha kasaini[emoji23][emoji23]Uto nao sijui wamemnasa nani naona wana jambo saa 6:01
Kabwili tulia dawa iingie freshSiyo kila msuka rasta ni mchezaji
😂😂Aziza KeiUto huwa wanaokota wacheza waliotemwa ndo wanatambulisha,Aziza Kei tu ndo angalau wamejitutumua tena kwa mbinde sana.
Kikosi hakitokamilika bila Manzoki, leo tunaujuza ummaJana niliambiwa kuna mtu mahususi ametumwa Kampala kwa ajili ya kukamilisha hiyo kazi nikaona nitulie kwanza, nilivyokuja kuona wanatangaza rasmi kuachana na wakina Kagere na Mugalu nikaanza ku connect dots, sasa kwa hiyo picha naona kama jibu linaelekea kupatikana.
Kikosi hakitokamilika bila Manzoki, leo tunaujuza umma
Waliotemwa ndio wanaowapelekeaga moto mpaka maji mnayaita mmaa, waliotemwa ndio wamewanyang'anya ubingwa na kumaliza unbeaten, waliotemwa ndio wamemaliza kwa kuchukua kila kitu msimu huu, kumbe kusajili wachezaji waliotemwa ni bonge la dili maana wanayo impact kubwa kwenye timu🤣🤣Uto huwa wanaokota wacheza waliotemwa ndo wanatambulisha,Aziza Kei tu ndo angalau wamejitutumua tena kwa mbinde sana.
Baada ya kuhonga zile mechi 13 za udhamin wa GSM kwa milion 2 kila mwezi halafu unajisifuWaliotemwa ndio wanaowapelekeaga moto mpaka maji mnayaita mmaa, waliotemwa ndio wamewanyang'anya ubingwa na kumaliza unbeaten, waliotemwa ndio wamemaliza kwa kuchukua kila kitu msimu huu, kumbe kusajili wachezaji waliotemwa ni bonge la dili maana wanayo impact kubwa kwenye timu🤣🤣